bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Another Pearl Harbour.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWA mfano km nani alitumwa na hakutekeleza mpk ikamlazimu aje mwenyewe?Kila aliye mtuma hakutekeleza alicho muagiza [emoji15] Ndipo Kaja Mwenye ktk umbile bora la kibinadamu Kutuokoa..[emoji122] [emoji122] [emoji123]
cholo= al lailSuratul Raul,umeitoa wapi?
Dhakar kwa kiarabu uanaume(Masculine),kinyume chake ni Feminine(uwanawake).
Grammatical Gender:Masculine and Feminine Nouns.
wewe mshauri wake [emoji47] [emoji348] [emoji53]Kwa hiyo wataka kutuambia,hakujuwa kama atakao waagiza hawatatenda alichowaagiza?Kwa hiyo alikuwa na mapungufu ya kutojuwa litakalotokea baadaye?
Zaburi 239:4,16.
"Maana hamna neno ulimini mwangu,usililojuwa kabisa,Bwana ...siku zilizoamriwa kabla hazijawa bado".
Ni jinsi gani Mungu anaweza kutabiri maelezo kwa kina katika Agano la kale ,kama yeye hajui siku za baadaye.
wewe na mimi tumekubali Mungu anao Wana wengi tu [emoji4] tatizo allah jee naye anakubaliana na sisi..[emoji47] [emoji348] [emoji4]Hiyo biblia wewe huisomi vizuri mbona wwngi tu wameitwa wana wa Mungu.
1. Soma Mwanzo 6:1-4
"Wana wa Mungu na binti wa wanadamu"
2. Ayubu 1:6;3:1;38:7.
"Kufunuliwa kwa Wana wa Mungu(To 8:19)
3.Wagalatia 3:26-29:Ninyi nyote mumekuwa Wana wa Mungu.
4. 1 Yohana 3:2:sisi sote ni wana wa Mungu.
Sio Yesu tu kaitwa mwana wa Mungu.
ddKWA mfano km nani alitumwa na hakutekeleza mpk ikamlazimu aje mwenyewe?
Ususahau kujkkkkkkkkkka na sifa za mungu
Mbona na yy kashindwa kwanini alisulubiwa?Kila aliye mtuma hakutekeleza alicho muagiza [emoji15] Ndipo Kaja Mwenye ktk umbile bora la kibinadamu Kutuokoa..[emoji122] [emoji122] [emoji123]
Atakalo huwa..[emoji38]Mbona na yy kashindwa kwanini alisulubiwa?
Kwa hiyo unakubali kama Mungu wa Biblia ana wana wengi.Kwa nini hao wote tusiwaite 'waungu',tumuite mwana mmoja tu.wewe na mimi tumekubali Mungu anao Wana wengi tu [emoji4] tatizo allah jee naye anakubaliana na sisi..[emoji47] [emoji348] [emoji4]
cha ajabu nini hapo...[emoji38] [emoji12] tuna smg, rocket launcher, jet fighter, gruned, mkuki, mshale hizo zoote ni silaha..[emoji123] [emoji106] allah hakubaliani na sisi cholo [emoji38] [emoji38]Kwa hiyo unakubali kama Mungu wa Biblia ana wana wengi.Kwa nini hao wote tusiwaite 'waungu',tumuite mwana mmoja tu.
Mm kuna demu wangu alinionyesha kipande cha bible nacho kikisema kitaipiga Wtc na mwaka ulitajwakuna rafik alinionyesha kwenye quran iliandikwa sept 11 ndege ya chuma itaangusha jengo la refu na pacha kubwa kuliko yote lakin mwaka aujatajwa
Huyo rafiki yako muongo.kuna rafik alinionyesha kwenye quran iliandikwa sept 11 ndege ya chuma itaangusha jengo la refu na pacha kubwa kuliko yote lakin mwaka aujatajwa
Hahahaha! Tafuta maana ya kafiri mkuu.Biblia inamtambua muhammad kama kafir [emoji117] Yuda 1:3-4, mlaaniwa [emoji117] Gal 1:6-9 mpinga Kristo [emoji117] 1 Jn 1:22 mtu wa motoni [emoji117] Uf 14:9-12 sawa [emoji47] [emoji53]
Muongo, Surat al ahzab ni sura ya 33, na ina aya 73.wakuu iko aya katika Quran tukufu inayohusiana na sept 11 attack. labda tujaribu kuichambua.
1.Hii aya inapatikana katika sura ya tisa-Suratul Ahzab ( shambulio nalo lilitokea mwezi wa tisa yaani sept)
2. hii sura inapatikana katika Juzuu au Chapter ya 11. (shambulio nalo lilikuwa tarehe 11)
3. katika aya ya 110 katika sura hiindio kuna aya hiyo (kumbuka majengo yale yalikuwa na ghorofa 110.
4. aya hiyo inasema na mimi nanukuu "hayatodumu majengo yao ambayo wameyajenga kwa shaka ndani ya mioyo yao" (S.A)
NB: WHETHER NI COINCIDENCE AU ILITABIRI SHAMBULIO HILI MUNGU NDIE ANAEJUA.
Mpingaji wa kauli tangulizi..[emoji53] [emoji4]Hahahaha! Tafuta maana ya kafiri mkuu.
Aliyesuka mpango ule na namjua kabisa nilipeleka kesi mahakamani ilipoishia sijui...Maana mimi nilipotelewa na hotel iliyoitwa Banana kiosk.....nimejiapiza kutafuta mashahidi zaidi mwingine ni weweKuna mchezo umechezwa hapa.Ni kama lilipounguzwa soko kuu la Songea mwaka 2002