green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Dah kumbe anapenda mteremkoHamjui tu,dogo tangu enzi anasoma jitegemee alikua anacheza na fursa,kibibi farashuu miaka hiyo kinauza viepe tai mtaani ndio kilimfundisha mapenzi Ben.
Akitoka shule anajua kuna plate yake pale jioni.
Kibibi nacho kinamwambia fata nyumbani. Dogo akifika huko ni kukamuliwa tu.mpaka akazoea badae ikawa live tu.
Sasa huyo farashuu ukimuona mbona kaoa mrembo hapo.
Liko wapi hilo gari la jeshi?
Yaaani wewe umenisababisha nicheke usiku huu wa manane loohKweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Kwa mumeweMaimartha yupo wapi
@nzangamba umekuja kivingine..Mchicha MWIBA ni SHOGA ambaye ANALIWA na yeye ANAKULA,,,kwhyo UKIMALIZA kumla UNAPASWA uvae Suruali yako,,,UKAZE MKANDA WA KAMA NGEDERE,,,ulale,,ukisema ULALE UCHI ,,usishangae UKAMKUTA MGONGONI kwako,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
mkifanya nyinyi sawa, tukifanya sie njaa. Haki sawaaaaaaaa 😂😂😂😂😂
Hatujazoea mwanaume kuolewa. Ben beautiful kumzidi mkewe. Kaka angu nanihii sijui anajisikiaje demu wake Ben kuoa.mkifanya nyinyi sawa, tukifanya sie njaa. Haki sawaaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupia picha ya MaimarthaKwa mumewe
HuyuTupia picha ya Maimartha
Like poles repailKweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
mashallah...dada ana msambwanda sana
mashallah...dada ana msambwanda sana
Mwajuma nichokonoe kaolewaJaribu kutabiri, kama ni movie iitweje?