Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Hamjui tu,dogo tangu enzi anasoma jitegemee alikua anacheza na fursa,kibibi farashuu miaka hiyo kinauza viepe tai mtaani ndio kilimfundisha mapenzi Ben.
Akitoka shule anajua kuna plate yake pale jioni.
Kibibi nacho kinamwambia fata nyumbani. Dogo akifika huko ni kukamuliwa tu.mpaka akazoea badae ikawa live tu.
Sasa huyo farashuu ukimuona mbona kaoa mrembo hapo.
Dah kumbe anapenda mteremko

#bamia_ndefunene
 
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!

Kipendacho roho hula nyama mbichi

Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!

Adhabu ya kaburi, aijuae maiti

Siri ya mtungi, aijuae kata!

Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Yaaani wewe umenisababisha nicheke usiku huu wa manane looh
 
Tupia picha ya Maimartha
Huyu
IMG_20190217_085902.jpeg
 
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!

Kipendacho roho hula nyama mbichi

Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!

Adhabu ya kaburi, aijuae maiti

Siri ya mtungi, aijuae kata!

Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Like poles repail

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PICHA PAMOJA : Ben Kinyaiya na Mkewe Katika Private party yao baada ya kufunga Ndoa ❤❤
50295434_124485955276485_2728042367395336823_n.jpg
 
Back
Top Bottom