Sana Mkuu,Watu wanataka wampangie maisha yake
Jmn huyo sio dume kweli??? maana hata kifuani panaonekana tu kunamanguo yamewekwa huyo dume bwana mwangalien vzuri
Kwani huyo jamaa si wanasema ni jamii ya kina James delicious??Kweli? Labda muvi jamani... Huyu si alikuwa mchumba wa Maimartha?
Sent using Jamii Forums mobile app
. Ni Wivu Tu. (In gwajima voice)Hivi mtu unaanzaje kumnanga binadamu mwenzio kuwa mbaya?
Watu saingine sijui mnajisahau?
Kwa hiyo mnamkosoa Mwenyezi Mungu kwa jinsi alivyomuumba?
Yani mnajiona nyie mko kama keki au siyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Nishawahi kuwa na mahusiano na shape hizi!! Baba K ilikuwa si ya bara hiliMbona huyo muolewaji ni mbaya zaidi ya bwana mwenywe sielewi nn kilichopendwa hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Eddy katulia na wife ake like they doesn't exist at all! Wife yupo kininja 24/7, si ajabu hata Diamond mwenyewe hamjui! Sasa kwanini ndoa isitulie!Kuna wakati watu walimkandia mke wa dogo eddy yule alikuwa mtangazaji wa kipindi cha watoto ITV miaka ya zamani.
Lkn naamini mapenzi vile mtu anavyojisikia tusimpangie amuoe nani sbb mwisho wa siku yeye ndie anaenda kuishi nae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaelekea na wewe ulikuwa unawashwa na pilipili inayoliwa na nyumba ya mtaa wa 7!