Ben Kinyaiya afunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi

Umemaliza.
 
Hii methali inanikumbusha darasa LA tano kuna jamaa aliitoa tukafikiri ni uongo.. Had Leo tunamuita NJPW njigi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mtu unaanzaje kumnanga binadamu mwenzio kuwa mbaya?
Watu saingine sijui mnajisahau?
Kwa hiyo mnamkosoa Mwenyezi Mungu kwa jinsi alivyomuumba?

Yani mnajiona nyie mko kama keki au siyo?




Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwa gauni hilo bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…