Umemaliza.Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Tena Movie yenyewe iwe ya kichawi[emoji23][emoji23]Mh hiyo gauni ya bi harusi ni hapana kwakweli. Pengine ni muvi
Be Humble is free of charge [emoji873]
Sanaaaa kajua hapo atakula mwenyewe
Inaweza kuwa kweli au isiwe kweliWitchcraft is real [emoji23][emoji23]
I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
Inaweza kuwa kweli au isiwe kweli
Ni kweli hata huko duniani watu wana majina makubwa wanaoa/kuolewa na watu wa kawaidaBora isiwe kweli
I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
Hii methali inanikumbusha darasa LA tano kuna jamaa aliitoa tukafikiri ni uongo.. Had Leo tunamuita NJPW njigiHii dunia ni zaidi ya uijuavyo ndugu yangu; na ndio maana Waswahili wakasema, "ukiona njigi utadhani njege na ukiona njege utadhani njigi" na wengine wakasema, "vyote ving'avyo, usidhani dhahabu"! Kwa maana hiyo ndugu yangu isije yule unayedhani mume akawa ndie mke na yule unayedhani mke ndie mume mwenyewe; kwani dildo shi'ngi ngapi bhana!!!
Sio kwa gauni hilo bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi mtu unaanzaje kumnanga binadamu mwenzio kuwa mbaya?
Watu saingine sijui mnajisahau?
Kwa hiyo mnamkosoa Mwenyezi Mungu kwa jinsi alivyomuumba?
Yani mnajiona nyie mko kama keki au siyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni igizo, sababu ya kuwa ni igizo ni hill gauni.MTANGAZAJI maarufu Bongo, Ben Kinyaiya siku ya leo Jumamosi afunga ndoa ya kiserikali na mchumba wake wa siku nyingiView attachment 1024168View attachment 1024169View attachment 1024195
NimeaminiDuh basi igizo zuri cheki enzi za uchumba,mwaka jana hioView attachment 1024372
Hapa mwaka Jana enzi za uchumbaBora isiwe kweli
I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...[emoji97]
Hahaa we mkorofi sana