General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Single mom ukiwa vzuri kiuchumi wanaume wanakugombania ukiwa huna kitu tabu aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupata vichekesho vingine kama hivi, piga namba 0 7 97MTANGAZAJI maarufu Bongo, Ben Kinyaiya siku ya leo Jumamosi afunga ndoa ya kiserikali na mchumba wake wa siku nyingiView attachment 1024168View attachment 1024169View attachment 1024195
Enzi za uchumbaView attachment 1024367
We cheki kifua chief,..joni bravo kabisaa..hii movie ya ngumi bwanaa
😂😂😂
hahahahahahaKupata vichekesho vingine kama hivi, piga namba 0 7 97
Sikuhizi pesa tu[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]basi ngoja tutafte pesa waje wale wao[emoji12]
Takuchapa [emoji117][emoji117][emoji117][emoji23][emoji23][emoji23]
Bila shaka wewe ni MzaràmOKweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
something iz very fish
WiFi kavaa SAA ya kiume,halafu kajazia mkono kama Caster Semenya yule mkimbiza upepo (dume/jike) wa south
Sent using Jamii Forums mobile app
simba 1 yanga 0.....
Hivi ukija kwangu ndo utanicheka hivyo ??!😇😇hhaaaahhahahahaha u made my day jaman
Wivu huo uache..!Kweli? Labda muvi jamani... Huyu si alikuwa mchumba wa Maimartha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naachaje kuwa na wivu kikongwe mwenzangu kabebwa na kijana mhendsam mimi hata wazee wenzangu wananikimbia
ah wap...ninacheka nime🍻✌..alafu natafta mtu wa kuja naye ...nisombe..alipe😊!Hivi ukija kwangu ndo utanicheka hivyo ??!😇😇