Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh ngalanga,nmekumbuka mbaliiMkuu hii id yako nikiiona huwa nakumbuka eneo fulani hivi, we mtu wa Njombe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Likohugu sio jina la kihaya hata kidogo.usituaribie wanawake wetuSweetie mbna kama bibi harusi anajina LA kihaya View attachment 1024405
Sent using Jamii Forums mobile app
Atajisikia vizuri maana anapata na D2 ya kike! Hivyo atawakwida wote mungu ampe nini?Hatujazoea mwanaume kuolewa. Ben beautiful kumzidi mkewe. Kaka angu nanihii sijui anajisikiaje demu wake Ben kuoa.
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Likohugu sio jina la kihaya.majina ya kihaya ya kike yanaanza na koku na mengine k au atuSweetie mbna kama bibi harusi anajina LA kihaya View attachment 1024405
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo maneno ya kujifariji tu. Huoni ana watoto wengine, je aliwapataje? Hata wewe akikuchunuku k ya bure utaikula tu ingawa sura ya baba mdogo wakeKweli jamaa hataki upinzani kaamua kubeba juve halafu sura ya baba.
Hata ukisafiri kwenda sayari nyingine una uhakika hamna mtu anasumbua nyumbani kwako
Mkewe ni mtu mzima kidogo.Naomba CV ya mkewe!
Tatizo lake mikorogomashallah...dada ana msambwanda sana
HahahaaaaKweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Kweli kabisa kumbe Suzy waliachana,Kusutwa ni suna
Ben anaoa na kuacha wadada wanaoishi ughaibuni wenye passport zao. Awe ameachwa na mzungu au alijilipua au alizaliwa yeye anachotaka ni mdada wa Ughaibuni mwenye life.
Akishakuwa mume halali huwashawishi wadada wachukue mikopo benki na hela Ben anaizungusha kwenye biashara zake.
Alishaoa Denmark na Uingereza alimuoa Suzy mtoto wa Kidigo.
Kwenye maslahi Ben haangalii sura.
Kuna wakati mdada wa Denmark alitaka Kinyaia Pub iuzwe apewe chake baada ya kujua alitumika mapenzi hakuna.
😀Tatizo lake mikorogo