Ben Kinyaiya anatarajia kusogeza jiko

Ben Kinyaiya anatarajia kusogeza jiko

anaumwa kitu gani wewe mshana
werawera%2B146.jpg
ndege wafananao
 
Nashukuru Mimi ni mwanaume wa shoka,siyo kwamba najisifia ila imetangazwa humu kwamba Mimi siyo kama Deo kisandu wala Ben Kinyaiya.Napiga shoo za kibabe.
Deo kisandu ndo yule wa nivana? na kinyaiya kunengua na mapozi na kujitoboa vipini....wakitokea kwenye tv hadi huw anaona aibu kwa waifu, wanaaibisha jamii ya wanaume wote nchini.
 
nyinyi endeleeni kupiga majungu lakini dada zenu dahawa wanazipata
912f8f832f5d81f146b8bd86c65c7865.jpg
mkuu usitishwe na mtu anayeweka picha yuko na mwanamke kwenye public, jiulize kama yeye anajiamini kwanini anaweka picha ili kila mtu ajue alilala na mwanamke? kwani kuna wangapi wameoa lakini wanashikishwa ukuta vilevile? aache tabia za kike. wachagga hatuko hivyo.
 
mkuu usitishwe na mtu anayeweka picha yuko na mwanamke kwenye public, jiulize kama yeye anajiamini kwanini anaweka picha ili kila mtu ajue alilala na mwanamke? kwani kuna wangapi wameoa lakini wanashikishwa ukuta vilevile? aache tabia za kike. wachagga hatuko hivyo.
Hicho kidani ni cha kike..au mi sioni?
 
Back
Top Bottom