Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Vyuma vinavyoendelea kukaza watu watarudi kwenye mstari mnyoofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huyu si yule marehem pale mapipa mwenye ile bar auView attachment 649380ndege wafananao
Yeye mwenyewe jiko....View attachment 649219 MTANGAZAJI maarufu Bongo, Ben Kinyaiya amefunguka kuwa anatarajia rasmi kuvuta jiko.
Kinyaiya aliiambia Full Shangwe kuwa, Mungu akijalia hivi karibuni atauaga ukapera rasmi kwa kufunga ndoa na mwenza wake ambaye hakutaka kumuanika wazi.
“Unajua ndoa ni mapenzi ya Mungu, kama mwanadamu sina mamlaka kihivyo, ila Mungu akijalia ‘soon’ ninafunga ndoa na mwandani wangu,”alisema Kinyaiya.
Muungwana
Ila inasaidia kutokuwa na mambo ya hovyoila ndoa ovyo sana,mambo ya kubanana,kuulizana uko wapi
yani ni usumbufu mtupu
[emoji23] [emoji121] [emoji770]Miongoni mwa maswali ya kichochezi ili watu wafunguke vibaya swahiba hivyo.
SawiaMkuu huyu si yule marehem pale mapipa mwenye ile bar au
Utata mtupuFollowing
![]()
![]()
![]()
Mkuu viumbe vyote ambavyo viko kwenye hatari ya kutoweka ulimwenguni inabidi vilindwe kwa ghalama yoyote.Duu yaani rijali alindwe tena!!!
Lipi tenaBora angeoa kimya kimya maana hapo alipo daftari lake tunalo.
Amepona nini tn, wekeni mahabari hapaKwani amepona?
HahahaUtasikia ukumbini, bwana harusi ni mzuri kuliko bi harusi
Lilete hapaBora angeoa kimya kimya maana hapo alipo daftari lake tunalo.
AiseeeAchana na Magu kabisa, wale wanaofanya mapenzi ya jinsia moja lazima warudi tu kwenye asili yao!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa imefika wakati wanaume marijali tuanze kulindwa na majeshi maana tuko mbioni kupotea