[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu usitishwe na mtu anayeweka picha yuko na mwanamke kwenye public, jiulize kama yeye anajiamini kwanini anaweka picha ili kila mtu ajue alilala na mwanamke? kwani kuna wangapi wameoa lakini wanashikishwa ukuta vilevile? aache tabia za kike. wachagga hatuko hivyo.
HahahahaDeo kisandu ndo yule wa nivana? na kinyaiya kunengua na mapozi na kujitoboa vipini....wakitokea kwenye tv hadi huw anaona aibu kwa waifu, wanaaibisha jamii ya wanaume wote nchini.
Hivi ninyi watu aliyewaambia anataka kuoa ni nani. Amesema anataka kufunga ndoa na mwenzi wake. Sasa kufunga ndoa kuna mambo mawili. Naomba leo niishie hapoBora angeoa kimya kimya maana hapo alipo daftari lake tunalo.
lete mkuuLilete hapa
tatizo la uhuru uliopitiliza!ila ndoa ovyo sana,mambo ya kubanana,kuulizana uko wapi
yani ni usumbufu mtupu
Nilikua namuomba huyo jamaa ndio aletelete mkuu
Haaaa haaaa haaaSasa imefika wakati wanaume marijali tuanze kulindwa na majeshi maana tuko mbioni kupotea
nimechapia!Nilikua namuomba huyo jamaa ndio alete
Tena amechelewa kufanya usajili.Ameshaona uzee unakaribia, masela wa kwenda nao club wote wana familia zao hawana tena muda wa kukesha kwenye mabaa.
Tunamkaribisha kwenye chama.
Mapenz ni ubunifu mzeeya. Ukikarir mpaka kwenye ndoa utapaona moto.mapenzi mazuri mkiwa distance ndefu kwa kuwa mtataka kuwa karibu zaidi yanoge.subiri mkae pamoja ujue mapenzi kuwa jela
Hahaha wanshekya, ao notela na katerelo?Nashukuru Mimi ni mwanaume wa shoka,siyo kwamba najisifia ila imetangazwa humu kwamba Mimi siyo kama Deo kisandu wala Ben Kinyaiya.Napiga shoo za kibabe.
Well said.kua free kuna raha yake chief.ni wachache wenye akil nying wanaojua.Swal linalonikera unaoa lin?Sina budi kuwapa moyo soon ntaoa inshallah.Kumbe sina mpango na hata sijafikiria.ila ndoa ovyo sana,mambo ya kubanana,kuulizana uko wapi
yani ni usumbufu mtupu