Ben Pol amshukia Ali Kiba

Ben Pol amshukia Ali Kiba

Nataman all of you mngekua kama Ben pol,,, pwilo mashabiki wa aina yako ndio kikwazo kwa Kiba.
Anawadanganya nyie mnasema poa tu huku mioyo inawauma...

Ww jamaa ni shabiki wa ukweli wa ali kiba kuna ww na nifah kwny ukweli tuongee ukweli ben po hawezi tafuta kick kwa kiba na always ben po anaongea ukweli na ni fan wa kiba kuna cku alishamuuliza kiba kwann unatafuta kick kwa kutegeneza bifu kiba alimjibu ila kwa dharau ben po anamtakia mema kiba ila kuna mashabiki maandaZi kama pwilo wanamrudisha nyuma sana kiba na ndo hao wanamtia bichwa kuwa yeye ni zaidi ya diamond wakati kihalisia sio kweli na kiba anawadaganya always mashabiki wake anatakiwa abadilike
 
Last edited by a moderator:
Ben Pol anampenda Kiba...

Naungana na wewe ili Kiba asonge mbele zaidi kutoka sehemu aliyopo amteme 7 kinyume na hapo itamchukua miaka 1000 kusonga mbele.

Fanyeni kampeni insta na twiter tengenezeni hashtag mkiweza kupata post mia 40 mta trend na lazima ashtuke. Kama mnampenda msaidieni 7 aliwapoteza nakaya na rose mhando yeye yupo bize na ishu zake nyie mnapata presha.
 
Fanyeni kampeni insta na twiter tengenezeni hashtag mkiweza kupata post mia 40 mta trend na lazima ashtuke. Kama mnampenda msaidieni 7 aliwapoteza nakaya na rose mhando yeye yupo bize na ishu zake nyie mnapata presha.

Haahaahaa jamaa umwambii kitu kwa huyo manzi nahic wanakulana.
 
kumbe kibakuli nae jipu akabidhiwe jpm bas msimu wa tunzo za mabat unakaribia watu wameanza kutafuta ma bifu
 
Ww jamaa ni shabiki wa ukweli wa ali kiba kuna ww na nifah kwny ukweli tuongee ukweli ben po hawezi tafuta kick kwa kiba na always ben po anaongea ukweli na ni fan wa kiba kuna cku alishamuuliza kiba kwann unatafuta kick kwa kutegeneza bifu kiba alimjibu ila kwa dharau ben po anamtakia mema kiba ila kuna mashabiki maandaZi kama pwilo wanamrudisha nyuma sana kiba na ndo hao wanamtia bichwa kuwa yeye ni zaidi ya diamond wakati kihalisia sio kweli na kiba anawadaganya always mashabiki wake anatakiwa abadilike

Nahisi Pwilo atakua ni wale wanaojiita Kiba blood fns,,,, Hawa majamaa kichwan hamna kitu kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Ww jamaa ni shabiki wa ukweli wa ali kiba kuna ww na nifah kwny ukweli tuongee ukweli ben po hawezi tafuta kick kwa kiba na always ben po anaongea ukweli na ni fan wa kiba kuna cku alishamuuliza kiba kwann unatafuta kick kwa kutegeneza bifu kiba alimjibu ila kwa dharau ben po anamtakia mema kiba ila kuna mashabiki maandaZi kama pwilo wanamrudisha nyuma sana kiba na ndo hao wanamtia bichwa kuwa yeye ni zaidi ya diamond wakati kihalisia sio kweli na kiba anawadaganya always mashabiki wake anatakiwa abadilike

Kweli mi mwenyewe nakumbuka diamond siku moja alinikera sana nilimpa makavu sana mpaka akniblock nikafungua account mpya amenifollow tena hahahahaha.. japo siku ile nalivoniblock nilipitiliza mstari, ndio maana aliniblock, ila challenge ndio msingi mzuri wa mafanikio...
 
Last edited by a moderator:
Nahisi Pwilo atakua ni wale wanaojiita Kiba blood fns,,,, Hawa majamaa kichwan hamna kitu kabisa.

Haaaaaah nahisi pwilo yupo instagram muda huu ana mtukana ben paul sipati picha matusi anayo dondosha uko maana wamemvamia ben po uko
 
Last edited by a moderator:
Team kiba atayempinga ben pol hana mapenzi ya dhati na kiba..

Jamaa kaongea ukweli mtupu. Kiba kuna baadhi ya vitu anashindwa kuvifanya kwasababu tu ya mtazamo walionao mashabiki zake. Mashabiki wabaya sana wakati mwingine...

Uposahihi
 
Haaaaaah nahisi pwilo yupo instagram muda huu ana mtukana ben paul sipati picha matusi anayo dondosha uko maana wamemvamia ben po uko

Ngoja nikajionee vichwa vibovu vinavyotukana.
 
Last edited by a moderator:
Kweli mi mwenyewe nakumbuka diamond siku moja alinikera sana nilimpa makavu sana mpaka akniblock nikafungua account mpya amenifollow tena hahahahaha.. japo siku ile nalivoniblock nilipitiliza mstari, ndio maana aliniblock, ila challenge ndio msingi mzuri wa mafanikio...

Diamond alikuwa anazengua hasa hasa kipindi cha kampeni
 
Haaaaaah nahisi pwilo yupo instagram muda huu ana mtukana ben paul sipati picha matusi anayo dondosha uko maana wamemvamia ben po uko

Hahaha pwilo kapanick anaporomosha vitu tu huko..,
 
Last edited by a moderator:
Ben paul kaongea ukweli ila sasa mashabiki mandazi wa Kiba wasiopenda kuona anafanikiwa na wanaomjaza ujinga kujiona star wakati hamfikii hata Hamonize wametoa matusi kwa Ben paul balaa

Ifike hatua mashabik wa Kiba mmkubali ushaur bora wa kumfanya Kiba afanikiwe

Alikiba anajua mziki tena sana ila anaharibiwa na sifa za kijinga kutoka kwa mashabiki zake wasiojielewa
tifa
 

Attachments

  • 1450375539886.jpg
    1450375539886.jpg
    37.6 KB · Views: 301
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom