Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Watu ndo wakanza kuwa na shaka naye
Kwa hyo abuu alichofanya ben pol ni kitu kizuri?? Maana ili swala kila mmoja ana uelewa wake
Nataman all of you mngekua kama Ben pol,,, pwilo mashabiki wa aina yako ndio kikwazo kwa Kiba.
Anawadanganya nyie mnasema poa tu huku mioyo inawauma...