Ben Pol amshukia Ali Kiba

Huyo mama kazaliwa huko Oysterbay kimakosa tu maana ana vijitabia vya kwetu uswahilini Manzese, Mbagala kwa mfuga mbwa. Anaona noma tu kuvamia vigodoro lakini kukweli akivisikia tu anaanza kuwashwa washwa.
Nauona ukweli wa wazi wazi ndani ya kauli yako...
 
Mkuu mwanamke anapokua ktk middle thrties na bado ananunua vijana ni hatari. Huyu anachanganyikiwa c mda.. Ni wa kusamehe tu.
Kate, wallah tena, enzi hizo, duh-- nilikuwa nam-feel bhana, we acha tu!! Enzi hizo, Kate anagongwa lakini wala hujui kwamba anagongwa... full underground; utafikiri mtoto wa paroko-- hadi akaaminika kwenye kwaya za kanisa!!
 
Uh uh... Vip tena wewe.!? Huko tulishatoka mdaaa. We ulikua wapi?
So unaangalia Sophia,
Tukianza hapa kuziorodhesha za Kiba zilizohit si tutajaza uzi???

Ben Paul ni wivu unamsumbua hakuna kingine,
Na nyie team domo acheni ushabiki maandazi.
 
So unaangalia Sophia,
Tukianza hapa kuziorodhesha za Kiba zilizohit si tutajaza uzi???b

Ben Paul ni wivu unamsumbua hakuna kingine,
Na nyie team domo acheni ushabiki maandazi.

Ben pol kaongea ukweli me na muunga mkono ila sio mbaya ndo size ya kiba huyu ben pol
 
Akishatoka kwenye suala la management arudi kwenye the real Ali kiba...alikiba wa Cinderella na ya Kareem nk...
Sikuhizi pua nyingi mixer mivurugano..
We want the Ali Kiba ambae R Kelly mwenyewe alimkubali hadi kumpa nafasi ya kuanza ktk ngoma ya one8. That Ali kiba angetoboza mbali,ila this Ali kiba mpaka Neema ishuke.
 
Nadhani alicho maanisha ni kwamba Ali Kiba amekua rated kwa level za Diamomd kiasi kwamba kila anachofanya kinapaswa kufikia au kuzidi anachafonya Diamond

Ali Kiba ni mzuri sana kimuziki akiwa kama Ali Kiba
Lakini Ali Kiba hafanyi vizuri ikiwa anakua rated na mafanikio ya Diamond

Na ndio maana akauliza je haimsumbui Kiba kuwa overrated? Hakutaka tu kumalizia kwa level za Diamond kuepusha maneno zaidi

Wanamuziki wapo wengi wazuri kama Barnaba, Ben Pol mwenyewe, Ommy Dimpoz, Rich Mavoko nk, wanafanya vizuri sana kwa level zao sababu hawafanyi kazi chini ya kivuli cha mwingine
Lakini Ali Kiba kila anachofanya kinakua Vs Diamond kitu ambacho kinamtesa na kumsumbua sana sababu wanaomekana wako level moja kitu ambacho sio kweli
 

Walisha sema UKIIGA KUNYA KWA TEMBO..? ndio kinachomtokea sasahivi, mpaka Ben kaamua kutumbua jipu wayaaaaaaaa....

Aah je UTANIPENDAGA.....
 

R kelly alimbali na kumpa nafac katika ngoma ya one8😱 sema airtel walimkubali na kumpa dili
 
Mashabiki zake hawataki kusikia ukweli huu wao kazi yao kumkamia tu kiwa ni zaidi ya diamond kitu ambacho ni uongo.
 

Na je Ali Kiba alisema anashindana na Diamond?
Au mashabiki ndio wanamshindanisha na Diamond,
Kiba yupo vile vile wala hana ushindani na mtu,

Nakumbuka mapambano ya
Khadija kopa vs Nasma,
Kanumba vs Ray,
Dudu baya vs Mr. Nice,
East cost vs TMK,
Hao licha ya kua mashabiki waliwashindanisha kwa kujigawa n.k hata wao walikua wanapenda kushindana,

Tunarudi kwa Kiba vs Diamond,
Je Kiba amesema anashindana na Diamond??
Nini chanzo cha hilo 'bifu'
Kosa ni Ali Kiba kurudi ktk game na watu kumpokea wkt huo diamond ana hit??
Au nini sababu.
 

Ali Kiba kujiita THE RETURN OF THE KING alikuwa na maana gani?
wakati kuna Raisi wa# awamu ijayo?
 
Ali Kiba kujiita THE RETURN OF THE KING alikuwa na maana gani?
wakati kuna Raisi wa# awamu ijayo?

Hahahaha hv ww..... Mmh makubwaaaa!

Kwnz cjaelewa ulivyosema KUNA RAIS WA AWAMU IJAYO,
Pia kusema THE RETURN OF THE KING ndio alimaanisha anafanya ushindani na Diamond?

Hlf ujue kuna tofauti kati ya Rais na King ingawa wote ni watawala,

Leta points zilizoshiba km huna kafanye usafi chumbani kwako my dia.
 

Kitendo cha alikiba kurudi kwenye game kwa manjonjo nakusema kaja kufuta vumbi(ad leo bado anafuta)ni kutaka kujishindanisha na waliopo juu yy angekurud kmya kmya akatoa single yake cyo kwakumponda diamond et kizuri kikiondoka bas kibaya kinakua kizuri,..aliniboa sn na dharau zake ss alitaka ushindani ngoja ashudie anavobakwa na ufalme wake kudadaadek
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…