Ilu
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,198
- 1,648
Tena hilo la uzungu uzungu wa 7 nalo ni bonge la tatizo! 7 anatakiwa ku-manage watu wanaofanya muziki wa mahotelini na sio muziki wa mtaa!!
Kama 7 ndo yule dada niliyesoma nae Ashira basi Kiba kweli ana kazi. Yule dada sijui alikaa marekani maana ni zaindi ya mzungu. Alikuwa haongei kiswahili mchaga yule ni full mzungu. Alikiwa na interest ya mziki tangu secondary.