Ben Pol aomba Talaka Mahakamani dhidi ya Mke wake Anerlisa

Ben Pol aomba Talaka Mahakamani dhidi ya Mke wake Anerlisa

I missed you too mara mia kenda tisini na kenda kwa tashwishwi zote kabisa 'in kabudi voice'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee wa wistaz hotel, mweeeh Dunia ina maajabu yake kwa kweli.
 
Dem mwenyewe mzee huyo... Mgogo huyuu..hovyoo
 
Labda Ben Pol ameona picha za Anerlisa za zamani jinsi alivyokuwa Lemutuz wa Kenya. Dah dem alikuwa anapita kwenye mlango wa upana wa mita 1.5 hizi za kawaida alikuwa hawezi!
 
mkuu waswalisuna wana msimamo mkali sana hawachelewi kupiga takbir
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wale jamaa huwa nawaogpa sn..siku moja walipita kijiweni wanevaa vilemba kichwani na ndevu nyingi kidevuni wakatusimba wote tukaswali,nikaogopa hata Kusema wakuu mm siyo muislamu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee wa wistaz hotel, mweeeh Dunia ina maajabu yake kwa kweli.
kama ni kweli profeseli alikula kisu kimoja matata hasa demu ana viwango sgr
 
Ni aibu Sana kwa mwanaume eti unakwenda mahakamani unaomba talaka uachane na mkeo.

Sijui huu ujasili vijana mnautoaga wapi
 
Huyu ni marioo wa taifa...yaan alifata mali kabisa, na malaywer wamemdanganya atapata pasu, subiri ajionee maajabu
Katutia aibu sana Kama taifa,
nashauri NDUGAI aingilie Kati ili suala la uyu ndugu yake MGOGO.

Ikiwezekana lifikishwe bungeni haraka Sana kwa hati ya dharula.
 
Mi nilushawakia kitambo sana. Nilikuwa na demu Shule ya msingi Mnazi Moja Dar es Salaam hapohapo. Tukaamua you twende together St. Anthony's Mbagala. Kilichofanyika huwezi amini. Nimebwagwa mazima kwasababu kakutana jamaa yuko High level halafu anapiga basketball kama Michael Jordan. Kilichorndelea mimi niliamua kujificha kwenye vitabu kwa miaka minne. To make the story short, since that time, the only woman I trust is my mother. I never get married, and not going to marry anybody. I'm doing it big and those who put me on a shame Lane while I was a little boy, I thank them so much, because without them I could not make this big
Mzee na ung'eng'e wote huo unaopiga ndo tuseme umeshindwa kujua A level? Hadi unaiita High level.
 
View attachment 1747380View attachment 1747381
Mtoto ana tako , mtoto ana hela , Ben Pol unakwama wapi ?? Acha ujinga wewe hebu endelea kusukuma figo ya huyo mtoto ....wengine tukipata hyo chance tunatulia kabisa ....
Kikubwa si hilo figa kubwa hapo ni upendo,mdada alimpenda sana huyu kijana ila kina Divana wamempenda zaidi.Naona chuki imeshaingia bidada anapeperusha midole ya kati tu wanaume jamani da!
 
Back
Top Bottom