Tetesi: Ben Saanane kuna biashara gani unafanya na ubalozi wa Sahara Magharibi na Kundi la TASSC?

Mkuu hebu fungua hii code kidogo
Kwa kweli litakuwa jambo jema sana [emoji6]
 
Wewe muuaji wa Ben ulaaniwe milele.
 
da huyu ni mtanzania kweli anaweza kufanya mambo hayo kuichafua nchi kisa pesa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…