Mkuu naona unapoteza muda kuniita majina yote mabaya
my questions was so simple, hauna haja ya kuandika yoote hayo, hakuna anayekupa kikombe humu, au sifa!...jua kuwa unapoteza muda kudharau, kejeli au kutukana....wengine akili zetu huwa haziumii kuandika any words of which you think it may hurt me
swali ni simple kabisa, Mbowe na wewe kama chadema mmechukua hatua gani? ushawahi kuitisha maandamano ya kuwa unataka Ben saa nane aonekane? atafutwe?
Hivi kwa mtu kama mbowe kitu gani cha serious kabisa ambacho anaweza kupambana nacho kama sio maisha ya mtu?
Haileti raha kusikia Mbowe kafungwa au yuko rumande kisa chadema wanataka Ben saa nane aonekane?
Mo umesikia juzi ncho nzima ilishikamana!
Hauwezi kuwa coward na akili ndogo nikadai Polisi wamemficha Ben saanane, halafu siku ya pili unataka polisi hao hao wamtafute!....?..akili za kuwa useme nini wakati gani hamna!
Leo Mushi hataka kama ungekuwa houseboy wa Mbowe ghafla ukapotea Mbowe hana muda na wewe....Mbowe hana sense ya ku own vitu vyake!...haiingii akilini ukimya wa makamanda wote nyie wa CDM kwa ishu ya Ben saanane, ona aibu mkuu!!
Unalalamikia CCM, polisi, sijui nani lakini hatujaona push yenu kumtetea Ben saanane, hakuna mkuu, zaidi ya kuongea sasa Coward hapa sijui nani? nani ana low mind? nani ana akili ndogo? HOW COME YOUR BLOOD BROTHER mnakaa nae ofisini, strategist wa issues zote za chadema leo anapotea kisha mnakaa na kusema polisi wamtafute...uanaume gani huo kama sio ushoga? mnapaswa mtajwe chadema nzima kuwa ni mashoga, haingii akilini huu ukimya kuhusu ben saanane
Majuzi mliandamana kwa sababu za uchaguzi kinondoni na maskini Aqwilini akafa, Lema akaitisha press conf. kwa ajili ya MO,
Ila hao hao chadema hawawezi kuandamana kwa sababu ya uhai wa ben saanane??!!!!!..hivi una akili kweli?' fika muda ongea ukweli mkuu!..hizi kutupatupa lawama mnavyofanya kama mna mimba hakufai, go to the streets for Ben saanane, ....do that!!.acha kugombana na waberoya humu..
acha kujiona una akili wakati ni muoga...acha kujivika ujasiri kama wa amber rutty wakati ni wachafu chadema mpaka sasa mmechemsha, nasema "mmechemsha" because you guys are supposed to be initiators wa movement zozote za kumtafuta Ben Saanane..believe me
Raia wa kawaida wakiona CDM wanaandamana kwa sababu ya Ben saanane, kila raia atakuunga mkono, utapandisha uzalendo wa wanachama kwa chama chao...every one will feel "this is our home"....kukaa kimya kama hivi hakufai mkuu, narudia tena ona aibu
Kuna taarifa kuwa Mbowe anawapoteza hawa watu wake, na kuna uthibitisho wa uhalifu kama huu...HATA KAMA NI YEYE..basi afanye bas kuigiza kuandamana kumtaka Ben saa nane
kuwa serious kidogo mkuu, nataka kukukuza uwe mwanaume maneno yako humu yaendane na actual action on field
Haya ya kuwapiga CCM kwa maneno na povu la sabuni, mnatia kinyaa