huyo mwenzio hapo juu kasems it dont matter na wewe umesema 'me i...'..hii me i..walimu wangu wa form two wamenikung'uta sana,walidai huwezi weka jina na kiwakilishi hapohapo..nadhani me and i ni kitu kimoja..au laa niwatukane walimu wangu kwa kunipotoshanow we are talking about misjudgments, me i don't have some moral epiphany
mtu yoyote anaweza kuropoka tu but sometimes you need to shut your mouth no matter what you might be feeling and holding it together when the stakes are higher than yourself...it is politics not revolutions
Only dictators would like people to shut their mouths.now we are talking about misjudgments, me i don't have some moral epiphany
mtu yoyote anaweza kuropoka tu but sometimes you need to shut your mouth no matter what you might be feeling and holding it together when the stakes are higher than yourself...it is politics not revolutions
Hivi binadamu wote wenye mapenzi mema tukifunga na kumwangukia Mungu wetu atuonyeshe kwa uwazi kilicho mpata Ben ili kama kafa tujue tuweke matanga tusahau, kama yupo yuko wapi? na nani muhusika wa kadhia hii tumjue tumwambie ASANTE KWA ULILOTENDA hatatujibu?Ben ben,. Uko wapi ???
Mungu hashindwi Jambo lolote jamaa yangu ,Hivi binadamu wote wenye mapenzi mema tukifunga na kumwangukia Mungu wetu atuonyeshe kwa uwazi kilicho mpata Ben ili kama kafa tujue tuweke matanga tusahau, kama yupo yuko wapi? na nani muhusika wa kadhia hii tumjue tumwambie ASANTE KWA ULILOTENDA hatatujibu?
Kwa hiyo ni swala la muda tuu.Mungu hashindwi Jambo lolote jamaa yangu ,
Mimi nadhani hata sisi wanachama wa JF, wenye kuguswa na hili, tuangalie uwezekano wa kutoa dau. Tunaweza kabisa humu, kupata pesa ya kuweka kama zawadi kwa mwenye taarifa nk. Huo ni mwanzo.Hivi binadamu wote wenye mapenzi mema tukifunga na kumwangukia Mungu wetu atuonyeshe kwa uwazi kilicho mpata Ben ili kama kafa tujue tuweke matanga tusahau, kama yupo yuko wapi? na nani muhusika wa kadhia hii tumjue tumwambie ASANTE KWA ULILOTENDA hatatujibu?
I'm talking "political misjudgments"now we are talking about misjudgments, me i don't have some moral epiphany
mtu yoyote anaweza kuropoka tu but sometimes you need to shut your mouth no matter what you might be feeling and holding it together when the stakes are higher than yourself...it is politics not revolutions
Kumbe unajua kwamba alikufa??R.I.P kamanda,damu yako haitoenda bure..!!
Wazo zuri kijanaMimi nadhani hata sisi wanachama wa JF, wenye kuguswa na hili, tuangalie uwezekano wa kutoa dau. Tunaweza kabisa humu, kupata pesa ya kuweka kama zawadi kwa mwenye taarifa nk. Huo ni mwanzo.
Ni bora kuliko ukimya tu.
Wanyarwanda mnamatatizo sana.Kumbe unajua kwamba alikufa??
Alifia wapi mkuu ??
Duuuh, yamekuwa hayo TenaWanyarwanda mnamatatizo sana.
huyo mwenzio hapo juu kasems it dont matter na wewe umesema 'me i...'..hii me i..walimu wangu wa form two wamenikung'uta sana,walidai huwezi weka jina na kiwakilishi hapohapo..nadhani me and i ni kitu kimoja..au laa niwatukane walimu wangu kwa kunipotosha
for the sake of national securityOnly dictators would like people to shut their mouths.
Under the umbrella of..... National securityfor the sake of national security
kwa hiyo na wewe umekua mshambenga kwa dialect zako!?jikite kwenye hoja na uache ushambenga sababu inaonekana ujui unachoongea, kwa kukusaidia tu soma kitu kinaitwa Dialects of English halafu uje tena
National security can be misinterpreted.for the sake of national security