chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,559
tena wa mdundiko😎🙂 hahahahakwa hiyo na wewe umekua mshambenga kwa dialect zako!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tena wa mdundiko😎🙂 hahahahakwa hiyo na wewe umekua mshambenga kwa dialect zako!?
not by the head of state, and this is according to plausible deniabilityNational security can be misinterpreted.
hiyo umesema wewe mjombaUnder the umbrella of..... National security
What do you mean "not by head of state"?not by the head of state, and this is according to plausible deniability
ikimpendezaWhat do you mean "not by head of state"?
kwa kweli,ujue watu wengine wanapenda kick.Huyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
Not good enough. That sounds more of a monarchy.ikimpendeza
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Huyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
Hii kitu watu wanaelekeza hadi wanachoka.
Hawa ndio watanzaniaBen Sanane aboreshe mbinu za kujitangaza, hii style ya kujidaia anatafutwa ni ya zamani sana na ya kipuuzi.
Mungu afanye tu hata Miujiza Ben Saanane apatikane akiwa hai na mwenye akili ile ile na ujasiri ule ule