Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mmoja wa washukiwa wa kupotea kwa Benard Saa Nane ametajwa humu ndani ya JF akitumia ID fake ya TumainEL , limenukuliwa andiko lake la kinyama akimtishia waziwazi Ben ya kwamba atamalizwa , Kwa manufaa ya jf ni vema mkiweka kumbukumbu sawaUhai hutolewa na Mungu, ila kama binadamu ameamua kukatisha maisha Uhai wako kwasababu tu ya siasa, Mungu huyo na anayashuhuduia yote