Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben ulipo sis bado tunakuombea uwe mzima au umeliwa na chatu kama alivosema member tumainiel hakika dam yako itakuwa juu yao na watoto wao
 

Watu wasiojulikana, huu mkwara na tunachokifahamu huyu member lazima awe muuaji

Mtazamo tu ila uhakika ni 84%
 
0768797982

Hiv mwenye hii namba alishaitwa Polisi Kuhojiwa?

Polisi wangemfuatilia tujue kama ni CHADEMA Wanacheza chezo au CCM kupitia TISS wanacheza Chezo. Uchunguzi ulipaswa kuanzia hapa. Je umeshafanyika?
 
[emoji47][emoji47][emoji47][emoji47]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashite na watu wake walio Vamia Clouds... Tuambie huyu mtu yuko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…