Kwa hili namtete mzee wangu huyu huwa anadondosha like za bure mpka tunashindwa kujua ameLIKE kweli au ni ile SEEN.Mkuu Machondela, kitendo cha kumuuliza mtu kwanini amelike post fulani, huko ni kuingilia the right to expression ya mtu.
Wale wanaonifuatilia post zangu, mimi nikianzisha thread, kila anayechangia thread yangu, anakula like yangu, na kila post ninayoisoma humu jf, naidondoshea like, mimi hata mtu akinitukana, anakula like!.
P
Wamtafute wakati wao ndio waliomuuaCCM ina wajibu wa kumtafuta Ben saanane maana CCM ndiyo Serikali, Je CCM mmeshindwa kabisa kujua ni wahuni gani walifanya haya mambo ndani ya Jamhuri ya Tanzania kuichafua Serikali yetu.
Ila hii post haijaanzishwa nawewe,sasa kipi kilikuvutia katika ile koment mpaka uka likeMkuu Machondela, kitendo cha kumuuliza mtu kwanini amelike post fulani, huko ni kuingilia the right to expression ya mtu.
Wale wanaonifuatilia post zangu, mimi nikianzisha thread, kila anayechangia thread yangu, anakula like yangu, na kila post ninayoisoma humu jf, naidondoshea like, mimi hata mtu akinitukana, anakula like!.
P
Nimejifunza kitu kwenye bandiko laako hili maana JF imegeuzwa kijiwe stori, uzushi na matusi mwanzo mwisho.Mkuu Machondela, kitendo cha kumuuliza mtu kwanini amelike post fulani, huko ni kuingilia the right to expression ya mtu.
Wale wanaonifuatilia post zangu, mimi nikianzisha thread, kila anayechangia thread yangu, anakula like yangu, na kila post ninayoisoma humu jf, naidondoshea like, mimi hata mtu akinitukana, anakula like!.
P
Karudie kusoma nilichokujibu baada ya sentence hii "kila post ninayoisoma humu jf, ..."Ila hii post haijaanzishwa nawewe,sasa kipi kilikuvutia katika ile koment mpaka uka like
No hatujamsahau kabisa, huwa tunamkumbuka from time to time.Hivi ndugu yetu ndiyo basi tena, ndiyo tumemsahau kabisa
Ni kweli mkuu wewe Pasko tunakufahamu vizuri, hata tusipokubaliana una like.Mkuu Machondela, kitendo cha kumuuliza mtu kwanini amelike post fulani, huko ni kuingilia the right to expression ya mtu.
Wale wanaonifuatilia post zangu, mimi nikianzisha thread, kila anayechangia thread yangu, anakula like yangu, na kila post ninayoisoma humu jf, naidondoshea like, mimi hata mtu akinitukana, anakula like!.
P
Mkuu, na hiyo post #43Huyu jamaa post # 44 kwenye uzi huu atakuwa ni mmoja wa wahusika wakuu kuhusu kupotea kwa huyu mwenzetu.
Stupidity!Kwahiyo ?
Duuuuuuu! Pascal Mayalla huyu huyu?!!Ambacho umesahau katika post hiyo yenye Likes 4 tu mpaka leo, miongoni mwa waliolike ni:-
PASCHAL MAYALA.
Mtu anayefurahia vifo/madhara dhidi ya wenzake.
Nakumbuka siku walipotaka kumdedisha Lissu, huyo Lowassa, Sumaye, Waitara nk, walionyesha sura za huzuni sana! Sikutegemea kama hao, na wengine waliokuwa upande huo, wangeungana na hao WAUAJI!Hakuna Jambo limewabadili Mtazamo watanzania Kama hili na la lisu. Halafu mtu anahama chadema anaenda kule kwa watekaji dah aiseee