Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
DuhBen acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Ndugu kuna kukosoa lakini Ben alifika alipo fika mm nilitabiri ila sina hata alama naye. Nanimetabiri mengi je ujayaona kosoa ila usiguse kusipoguswa.Wewe jamaa sidhani kama hauhusiki na kupotea kwa ben.
I quote hiyo commentSidhani kama Ben amefariki,maana kuna siku nadhani mwezi wa kwanza au wa pili mwaka huu alichangia mada kwa ID yake.
Hauna cha nguvu wala nn? Damu ya mtu haiendi bure labda uwe kweli hujausikaNdugu kuna kukosoa lakini Ben alifika alipo fika mm nilitabiri ila sina hata alama naye. Nanimetabiri mengi je ujayaona kosoa ila usiguse kusipoguswa.
soma uzi wangu ninanguvu za ajabu.. Mbona uhulizi kifo cha chadema nilicho tabiri 13.03.2016...
Kwanza nikusahihishe nani kakwambia kuna dam ilimwagwa? Maana hakuna taarifa Ben kauwawa ila kapotea. Mwisho amini ninachokwambia nina nguvu za ajabu. Kuona mambo before hayajatokea.Hauna cha nguvu wala nn? Damu ya mtu haiendi bure labda uwe kweli hujausika
kama kweli inakuuma fanya bidii kumtafuta maana alipotea na mtu akipotea anatafutwa.Inauma sana
Siasa mchezo mchafuNakumbuka siku walipotaka kumdedisha Lissu, huyo Lowassa, Sumaye, Waitara nk, walionyesha sura za huzuni sana! Sikutegemea kama hao, na wengine waliokuwa upande huo, wangeungana na hao WAUAJI!
So you are stupid right ?Stupidity!
AiseeKama
kama kweli inakuuma fanya bidii kumtafuta maana alipotea na mtu akipotea anatafutwa.
Ulianza kuandika neno 'kwahiyo' badala ya 'kwa hiyo' Nikajibu kwa english kwa neno moja 'stupidity'So you are stupid right ?
Sh'kamoooooo Mwaaaaaliiiimmmmm!Ulianza kuandika neno 'kwahiyo' badala ya 'kwa hiyo' Nikajibu kwa english kwa neno moja 'stupidity'
Sasa umeandika maneno 5 na question mark. Hapa ilihitajika 'commas' ili sentensi iwe na maana lakini hukuweka. alama ya kuuliza ilitakiwa iwe sehemu ya neno 'right?' na siyo 'right ?'
Kwa ujumla uko chini ya kiwango bila kujali unatumia lugha gani.
Oh! Kumbe waalimu pekee ndo wanatakiwa kuwa na ufahamu? Hata wenyeviti wa vyama vya siasa ni muhimu. Tusijikute vihiyo wa divisheni zero wanachukuwa nchi!Sh'kamoooooo Mwaaaaaliiiimmmmm!
Ni katika mtizamo huu huu wako "---kitendo cha kumuuliza mtu kwa nini ame'like' post fulani, huko ni kuingilia the right to expression ya mtu"; na wewe unaingilia rights za watu wengine kwa kufanya unayoyaeleza hapo chini ya wewe kufanya hayo.Mkuu Machondela, kitendo cha kumuuliza mtu kwanini amelike post fulani, huko ni kuingilia the right to expression ya mtu.
Wale wanaonifuatilia post zangu, mimi nikianzisha thread, kila anayechangia thread yangu, anakula like yangu, na kila post ninayoisoma humu jf, naidondoshea like, mimi hata mtu akinitukana, anakula like!.
P
Mkuu 'Ghiti Milimo', hao akina Lowassa na Sumaye hawana tofauti yoyote na "wanaouliwa".Nakumbuka siku walipotaka kumdedisha Lissu, huyo Lowassa, Sumaye, Waitara nk, walionyesha sura za huzuni sana! Sikutegemea kama hao, na wengine waliokuwa upande huo, wangeungana na hao WAUAJI!
Kwa hiyo ?Ulianza kuandika neno 'kwahiyo' badala ya 'kwa hiyo' Nikajibu kwa english kwa neno moja 'stupidity'
Sasa umeandika maneno 5 na question mark. Hapa ilihitajika 'commas' ili sentensi iwe na maana lakini hukuweka. alama ya kuuliza ilitakiwa iwe sehemu ya neno 'right?' na siyo 'right ?'
Kwa ujumla uko chini ya kiwango bila kujali unatumia lugha gani.
Kwangu kutoa likes is an order of the day kuonyeshea appreciation kwa kila mtu anayechangia thread yangu, kwa kila mtu atakaye ni quote mchango wangu kwenye bandiko lolote, na pia huwa namwaga like kwa kila post ninayoisoma na kui appreciate hata ukinitukana, utakula likes, mini kwangu likes ni za Kumwaga. Kama likes zangu zinakukera sana, unaweza kuzizuiaNi katika mtizamo huu huu wako "---kitendo cha kumuuliza mtu kwa nini ame'like' post fulani, huko ni kuingilia the right to expression ya mtu"; na wewe unaingilia rights za watu wengine kwa kufanya unayoyaeleza hapo chini ya wewe kufanya hayo.
Huwa ninakereka sana kukuta 'like' zako kwenye mambo ninayoandika hapa ukumbini.
In a way, unakiuka 'rights' zangu kwa kulazimisha kuweka hizo 'likes' zako. Zinaudhi.
Kwa hiyo, usilazimishe kuweka chochote juu ya mabandiko ya wengine, kama wewe unaona " kuulizwa" ni kuvunja haki zako.