Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Halafu, kuna kipindi namba yake ya simu ilikuwa inajitoa kwenye ma group mbalimbali ya WhatsApp, kuashiria kuwa, kuna mtu alianza kuitumia simu yake. Na kama tunavyojua, kujiunga whatsApp, unakuwa umeisajiri handset kwa kutumia namba ya simu. Hivyo, hata ukiweka line nyingine, unaowasiriana nao, utatambulika kwa ile namba ya awali, mpaka utakapo ifuta hiyo akaunti, na kujisajiri upya kwa namba nyingine!
Hivyo, wahusika hawakutaka tu kumtafuta huyo anayeitumia hiyo handset yake. Na jambo hilo, lililetwa hapa JF kipindi hicho!
 
Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Duh
 
Wewe jamaa sidhani kama hauhusiki na kupotea kwa ben.
Ndugu kuna kukosoa lakini Ben alifika alipo fika mm nilitabiri ila sina hata alama naye. Nanimetabiri mengi je ujayaona kosoa ila usiguse kusipoguswa.
soma uzi wangu ninanguvu za ajabu.. Mbona uhulizi kifo cha chadema nilicho tabiri 13.03.2016...
 
Ndugu kuna kukosoa lakini Ben alifika alipo fika mm nilitabiri ila sina hata alama naye. Nanimetabiri mengi je ujayaona kosoa ila usiguse kusipoguswa.
soma uzi wangu ninanguvu za ajabu.. Mbona uhulizi kifo cha chadema nilicho tabiri 13.03.2016...
Hauna cha nguvu wala nn? Damu ya mtu haiendi bure labda uwe kweli hujausika
 
Hauna cha nguvu wala nn? Damu ya mtu haiendi bure labda uwe kweli hujausika
Kwanza nikusahihishe nani kakwambia kuna dam ilimwagwa? Maana hakuna taarifa Ben kauwawa ila kapotea. Mwisho amini ninachokwambia nina nguvu za ajabu. Kuona mambo before hayajatokea.
 
Sidhani kama Ben amefariki,maana kuna siku nadhani mwezi wa kwanza au wa pili mwaka huu alichangia mada kwa ID yake.
ebalehii I'd nimeiona kule juu kwenye statement ya Ben vipi alikuwa na I'd mbili ?
 
So you are stupid right ?
Ulianza kuandika neno 'kwahiyo' badala ya 'kwa hiyo' Nikajibu kwa english kwa neno moja 'stupidity'
Sasa umeandika maneno 5 na question mark. Hapa ilihitajika 'commas' ili sentensi iwe na maana lakini hukuweka. alama ya kuuliza ilitakiwa iwe sehemu ya neno 'right?' na siyo 'right ?'
Kwa ujumla uko chini ya kiwango bila kujali unatumia lugha gani.
 
Ulianza kuandika neno 'kwahiyo' badala ya 'kwa hiyo' Nikajibu kwa english kwa neno moja 'stupidity'
Sasa umeandika maneno 5 na question mark. Hapa ilihitajika 'commas' ili sentensi iwe na maana lakini hukuweka. alama ya kuuliza ilitakiwa iwe sehemu ya neno 'right?' na siyo 'right ?'
Kwa ujumla uko chini ya kiwango bila kujali unatumia lugha gani.
Sh'kamoooooo Mwaaaaaliiiimmmmm!
 
Mkuu Machondela, kitendo cha kumuuliza mtu kwanini amelike post fulani, huko ni kuingilia the right to expression ya mtu.

Wale wanaonifuatilia post zangu, mimi nikianzisha thread, kila anayechangia thread yangu, anakula like yangu, na kila post ninayoisoma humu jf, naidondoshea like, mimi hata mtu akinitukana, anakula like!.
P
Ni katika mtizamo huu huu wako "---kitendo cha kumuuliza mtu kwa nini ame'like' post fulani, huko ni kuingilia the right to expression ya mtu"; na wewe unaingilia rights za watu wengine kwa kufanya unayoyaeleza hapo chini ya wewe kufanya hayo.

Huwa ninakereka sana kukuta 'like' zako kwenye mambo ninayoandika hapa ukumbini.
In a way, unakiuka 'rights' zangu kwa kulazimisha kuweka hizo 'likes' zako. Zinaudhi.

Kwa hiyo, usilazimishe kuweka chochote juu ya mabandiko ya wengine, kama wewe unaona " kuulizwa" ni kuvunja haki zako.
 
Nakumbuka siku walipotaka kumdedisha Lissu, huyo Lowassa, Sumaye, Waitara nk, walionyesha sura za huzuni sana! Sikutegemea kama hao, na wengine waliokuwa upande huo, wangeungana na hao WAUAJI!
Mkuu 'Ghiti Milimo', hao akina Lowassa na Sumaye hawana tofauti yoyote na "wanaouliwa".
Hawa ni wafu, wewe hilo hulioni, au mpaka lifafanuliwe?
Hebu piga kichwa kidogo utaelewa ninachokieleza hapa.

Lowassa na Sumaye ni wafu. Hawa akina Waitara na wengine walionunuliwa wao wana sababu zao na hawa wawili.
 
Ulianza kuandika neno 'kwahiyo' badala ya 'kwa hiyo' Nikajibu kwa english kwa neno moja 'stupidity'
Sasa umeandika maneno 5 na question mark. Hapa ilihitajika 'commas' ili sentensi iwe na maana lakini hukuweka. alama ya kuuliza ilitakiwa iwe sehemu ya neno 'right?' na siyo 'right ?'
Kwa ujumla uko chini ya kiwango bila kujali unatumia lugha gani.
Kwa hiyo ?
 
Ni katika mtizamo huu huu wako "---kitendo cha kumuuliza mtu kwa nini ame'like' post fulani, huko ni kuingilia the right to expression ya mtu"; na wewe unaingilia rights za watu wengine kwa kufanya unayoyaeleza hapo chini ya wewe kufanya hayo.

Huwa ninakereka sana kukuta 'like' zako kwenye mambo ninayoandika hapa ukumbini.
In a way, unakiuka 'rights' zangu kwa kulazimisha kuweka hizo 'likes' zako. Zinaudhi.

Kwa hiyo, usilazimishe kuweka chochote juu ya mabandiko ya wengine, kama wewe unaona " kuulizwa" ni kuvunja haki zako.
Kwangu kutoa likes is an order of the day kuonyeshea appreciation kwa kila mtu anayechangia thread yangu, kwa kila mtu atakaye ni quote mchango wangu kwenye bandiko lolote, na pia huwa namwaga like kwa kila post ninayoisoma na kui appreciate hata ukinitukana, utakula likes, mini kwangu likes ni za Kumwaga. Kama likes zangu zinakukera sana, unaweza kuzizuia
P
 
Back
Top Bottom