Upumbavu tu,Masikini Bensaanane. Angekimbia nchi huenda angelikuwa hai leo
We umefaidi nini Ben kuuliwa?Upumbavu tu,
Kujifanya una gangamala,! Kugangamala bongo hii? Kwa faida ya nani?
Haya mlokuwa mnamshabikia ndio hao wengine wanakimbia mapambano na nyie wengine ndio hivyo hata kuandamana mmekataa!
Ujinga mtupu, hii ni Afrika
Sijafaidika chochote lakini kujifanya wewe ni mkubwa kuliko selikali ni utaahira hasa kwa Afrika hapa.We umefaidi nini Ben kuuliwa?
Hata aliyeandika hoja uliyoijibu ni mshamba tu. Huwezi fanya magumashi kisa usihojiwe kwa vile unamamlaka. Ndiyo maana watu huachia ngazi,ama kupokwa tuzo zao pale inapogundulika umefanya ujanja.Kwa hiyo kuhoji phd ndiyo imstahili kifo? Au kuhoji hiyo phd kulitishia maisha ya rais? Hii inaonesha jinsi huyo aliyemuua alivyomjinga.
Ndio maana nikasema ni utahira kuanza kugombana na mtu mwenye mamlaka hasa kwa Afrika hapa.Hata aliyeandika hoja uliyoijibu ni mshamba tu. Huwezi fanya magumashi kisa usihojiwe kwa vile unamamlaka. Ndiyo maana watu huachia ngazi,ama kupokwa tuzo zao pale inapogundulika umefanya ujanja.
Shida ukishakuwa mwizi lazima utatetea wenzi wenzako.
Wewe ndiye wale watu mnaowaambia mama zenu kwa nini hakukulala na mkubwa fulani ili uzaliwe kwenye familia yenye madaraka.Ndio maana nikasema ni utahira kuanza kugombana na mtu mwenye mamlaka hasa kwa Afrika hapa.
Narudia ni utahira!