Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

HUYU JAMAA ALIMMALIZA KWA BASTOLA YAKE MWENYEWE .....WASAIDIZI WAKALETA BODY BAG ...WAKAENDA KUMWAGIA ACIDI KAMA LUMUMBA ...KUNA SIMULIZI NYINGI NA ZA KUTISHA ........
Nina video moja akikabidhiwa pistol na kijana wake nashindwa jinsi ya kuipandisha hapa,namna alivyokuwa anaichekecha anaonekana ni mkongwe kabisa kwenye mambo hayo kuitumia etc.
 
Kuna watu wanakuwa mbele kanisani afu lazima wapewe mix wamwage neno..wanafiki watakuwa Kuni za moto huko mbele ya safari
 

Nadhani hadi mtendaji mkuu wa hayo mambo akate moto ndio michakato mingine itaendelea. Au kuna lolote mkuu hujaliweka wazi?
 
Inatoa machozi kijana wa miaka 33 kuuwawa kwaajili ya kusema kweli. Mungu atalipia damu yako hapahapa duniani. Damu yako haitamwagika bure..
 
Mlipomuua mmefaidi nn sasa? We ukifa utasahaulika lakini hebu ona Ben hajasahaulika bado watu wanapigania haki yake na wataipigania milele hadi ipatikane. We siku ukifa the moment wamemaliza kukufukia utasahaulika kabisa
 
Mlipomuua mmefaidi nn sasa? We ukifa utasahaulika lakini hebu ona Ben hajasahaulika bado watu wanapigania haki yake na wataipigania milele hadi ipatikane. We siku ukifa the moment wamemaliza kukufukia utasahaulika kabisa
Ametumbuliwa siku hizi anayo akili
 
Mitandao ina umuhimu sana,, Ben aliweka bandiko humu na maadui zake kama TumainiEl walimjibu hadharani.

Yakaja kutokea ukweli..

Tuache kupuuza wanayosema watu, SO sad
 
HUYU JAMAA ALIMMALIZA KWA BASTOLA YAKE MWENYEWE .....WASAIDIZI WAKALETA BODY BAG ...WAKAENDA KUMWAGIA ACIDI KAMA LUMUMBA ...KUNA SIMULIZI NYINGI NA ZA KUTISHA ........
Kuhusu “simulizi nyingi za Lumumba”, ni kweli kabisa. Hata kuna mmojawapo humu alisema kuwa alitupwa kwenye nyumba/Banda la chatu. Kuna simulizi nyingi sana za kutisha kutoka kwa wana Lumumba. Hata Mwigulu alimuaminisha jamaa kuwa yeye ni best yake kabisa.🤦🏾‍♂️
 
Ongeza sauti mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…