Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Mkuu funguka kidogo tupate story kamili ya ben
Itahitajija tume ya ukweli na maridhiano ,kuweza kupatanisha mambo yooote yaliyofanyika ndani ya miaka sita takribani , hiyo ndio "Bei" ya katiba mpya .....aliyotuasa Nyerere kuwa tunahitaji ili kuzuia asije kuingia mtu mbaya akaitumia vibaya ....
Uzuri sasa kila mmoja ameona na hataki tena mtu wa aina hiyo hata afikiriwe na chama chochote kugombea Urais .
Pengine issue ya katiba inarudi kwa kasi , tume ya uchaguzi na pengine uchaguzi unarudiwa
 
Itahitajija tume ya ukweli na maridhiano ,kuweza kupatanisha mambo yooote yaliyofanyika ndani ya miaka sita takribani , hiyo ndio "Bei" ya katiba mpya .....aliyotuasa Nyerere kuwa tunahitaji ili kuzuia asije kuingia mtu mbaya akaitumia vibaya ....
Uzuri sasa kila mmoja ameona na hataki tena mtu wa aina hiyo hata afikiriwe na chama chochote kugombea Urais .
Pengine issue ya katiba inarudi kwa kasi , tume ya uchaguzi na pengine uchaguzi unarudiwa
Bila shaka hakuna marefu yasiyo na mwisho. Ngoje episode za mitandaoni zitamatishwe then watu waanze kufukua makaburi.
 
Itahitajija tume ya ukweli na maridhiano ,kuweza kupatanisha mambo yooote yaliyofanyika ndani ya miaka sita takribani , hiyo ndio "Bei" ya katiba mpya .....aliyotuasa Nyerere kuwa tunahitaji ili kuzuia asije kuingia mtu mbaya akaitumia vibaya ....
Uzuri sasa kila mmoja ameona na hataki tena mtu wa aina hiyo hata afikiriwe na chama chochote kugombea Urais .
Pengine issue ya katiba inarudi kwa kasi , tume ya uchaguzi na pengine uchaguzi unarudiwa
Mkuu hebu tutoe tongo tongo sisi tulio gizani hata kwa mafumbo

Uchaguzi utarudiwa kivipi?
 
Kwanini hii post ya Ben haikupata comments tangu Sept.19.2016 - July.18.2018 takriban mwaka mzima
 
Mitandao ubarikiwe. JF ubarikiwe. Ukisoma andishi la Ben na kuangalia na kilichotekea, bila mtandao tungejua wapi yaliyokuwa yanamsibu?

Tungesikia wapi anvyoililia nchi yake, mpenzi wake Tanzania?

It's sad.
 
Mitandao ubarikiwe. JF ubarikiwe. Ukisoma andishi la Ben na kuangalia na kilichotekea, bila mtandao tungejua wapi yaliyokuwa yanamsibu??
Tungesikia wapi anvyoililia nchi yake, mpenzi wake Tanzania??
It's sad.
Tukishapata katiba mpya, M. Melo atapaswa kupewa tuzo/nishani ya heshima ya juu kabisa ya Tanzania iliyo haki na huru
 
Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Kumbe watu ni wakatili hivi?
 
"Nakupenda mpenzi wangu Tanzania"

2016-Ben acha uzushi/uongo nk.

2021-Dah
 
Back
Top Bottom