Sijafaidika chochote lakini kujifanya wewe ni mkubwa kuliko selikali ni utaahira hasa kwa Afrika hapa.
Alafu alichokuwa anapigania sasa ni uharo mtupu, eti anahoji phd ya mkulu?
Si uchizi huu? Hata kama aliipata kwa magumashi wewe ukihoji hata kwa kuvua nguo hadharani itasaidia nini na mtu keshakuwa rais? Ajiuzulu au?
Ujinga tu
Mbaya zaidi kakikuwa kamejaa matusi, dharau, kejeli. Yani mtu kakuzidi mamlaka na kila kitu alafu wewe mtoto mdogo unakuja kumnyea kichwani unategemea nini?
Huwa tunaonya kila siku vijana kuweni na mipaka mnapokosoa, siyo unazuzuka na vi likes unavyopewa kisha una vimba bichwa,.
Nafikri Mdude pia atakuwa kajifunza jambo