Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Walishaanza kupukutika kitambo tu, miezi miwili iliyopita, jiwe lao kuu nalo likadondoka.....
Hii sentesi yako inafikirisha sana mkuu, kwamba watesaji baadhi yao washatangulia mbele za haki kujibu tuhuma zao ama mimi ndio sijaelewa!?
 
Umejuaje aisee? .. au wewe ni nabii
 
unaacha ugali hivi hivi kisa ujinga why? why?
 
MKUU UMEONGEA SUALA LA MAANA SANA HAPO HAWA VIJANA HAWAJIFUNZI WANAPIGANIA YA DUANIA MUANGALIE MDUDE NYAGALI ALICHOKUWA ANAKIFFANYA SASA ANAJIITA MFUNGWA WA KISIASA SIJUI INAMSAIDIA NINI?
 
Popoma
 
Nashangaa kwann warombo wananiangusha hapa aisee. Wafanye jambi

Nadhani hapo wazazi watakuwa wamepewa mlungura na kikundi cha BASHITE...Yaani Ben auliwe halafu wao wametulia tu.....Ilitakiwa wafanye jambo wakatike mmoja mmoja wote walioshiriki kumteka na kumuua.
 
Nadhani hapo wazazi watakuwa wamepewa mlungura na kikundi cha BASHITE...Yaani Ben auliwe halafu wao wametulia tu.....Ilitakiwa wafanye jambo wakatike mmoja mmoja wote walioshiriki kumteka na kumuua.
Yaan sijui kwann wamechelewa hivi. Ama Charesmatic imeshika hatamu? Tunataka tuone watu wanakatika mpaka wanaisha wote. Tena tunaomba hela za mbuzi tuchange sisi wala wasinunue wao.. halaf tuone majibu.
 
Where are you Brother??
 
Yaan sijui kwann wamechelewa hivi. Ama Charesmatic imeshika hatamu? Tunataka tuone watu wanakatika mpaka wanaisha wote. Tena tunaomba hela za mbuzi tuchange sisi wala wasinunue wao.. halaf tuone majibu.

Kabisa maana ben ameonewa ,ilitakiwa mababu wa kilimanjaro wapige kafara la hatari wote walioshiriki kumuua Ben wakatike.
 
Pamoja na kuripoti polisi huyu kijana alimezwa na chatu. Kuna haja ya kushirikisha polisi kweli? Miliki bastola tembea nayo 24/7 akija njago hovyo lipua tuuu
 
MKUU UMEONGEA SUALA LA MAANA SANA HAPO HAWA VIJANA HAWAJIFUNZI WANAPIGANIA YA DUANIA MUANGALIE MDUDE NYAGALI ALICHOKUWA ANAKIFFANYA SASA ANAJIITA MFUNGWA WA KISIASA SIJUI INAMSAIDIA NINI?
Mbaya zaidi hao anaowapigania wala hakuna hata mmoja anayemsaidia, wao wapo busy, usiku wanalala na wake zao yeye Mdude ananyea debe.
Yote hayo ni ubatili tu na kujilisha upepo. Hovyo kabisa.
 
ZAINABU NDUTA ndo imesajiliwa hivyo. Pengine huyu ni mtumiaji mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…