Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Walishaanza kupukutika kitambo tu, miezi miwili iliyopita, jiwe lao kuu nalo likadondoka.....
Hii sentesi yako inafikirisha sana mkuu, kwamba watesaji baadhi yao washatangulia mbele za haki kujibu tuhuma zao ama mimi ndio sijaelewa!?
 
Huyu jamaa angekufa kwa kuipigania INJILI YA MUNGU, ningesema amekufa kifo cha faida maana UFALME WA MUNGU ni faida kuliko kitu chochote kile.
Lakini sasa yeye amekufa kwa kuupigania ufalme wa kibinaadamu, ufalme usiokuwa na faida yoyote, ufalme ambao hajaupata, na kamwe hawezi tena kuupata, na hata aliokuwa nao hawawezi kamwe kuupata.
Hii ndiyo ile inaitwa "kujilisha upepo" ubatili juu ya ubatili. Mtu unapoteza muda na uhai kupigania "upumbavu", siasa ni "upumbavu".
Ben Saanane akiwa kama Mkristo alipaswa kutambua maneno ya YESU KRISTO, "utafuteni kwanza UFALME WA MUNGU na haki yake na hayo yote mtazidishiwa".

Vijana wa Kikristo jifunzeni kupitia makosa ya wenzenu, kitu cha kwanza ukiwa kama kijana unapaswa kujua dhumuni la MUNGU kumuumba Mwanadamu.
Ukishayajua makusudi ya MUNGU, sasa hapo ndipo unaweza kuyapeleka maisha yako katika njia iliyonyooka.
Umejuaje aisee? .. au wewe ni nabii
 
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko

Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.

Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You are too young to die. Tunajua utaandika na hili. Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha. Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia. Andika Ben. Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"

He's such a coward. Muoga. Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu

Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.

Haya tunasonga mbele Watanzania. Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.

As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo

Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai, watesaji, wakandamizaji wa hakiWatetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji, unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani.

Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania. Nina Mwaka Mmoja bado. He fought the right cause. Alikuja Duniani kimungu. Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu. Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake. Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake? Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.

Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki. Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo, nikapona kwa fadhila zake Muumba. Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu. Wanajisumbua! Nimeishi beyond that favour

Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania. I love you more than words can wield the matter, dearer than eyesight, space and Liberty. Oh I love you Tanzania. My Pride, My fountain of inspiration."

Mlale salama marafiki zangu wapendwa.

Mapambano na Yaendelee, Ushindi U Dhahiiri (Aluta Continua, Victory Ascerta)

Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.

Ben Saanane
unaacha ugali hivi hivi kisa ujinga why? why?
 
Huyu jamaa angekufa kwa kuipigania INJILI YA MUNGU, ningesema amekufa kifo cha faida maana UFALME WA MUNGU ni faida kuliko kitu chochote kile.
Lakini sasa yeye amekufa kwa kuupigania ufalme wa kibinaadamu, ufalme usiokuwa na faida yoyote, ufalme ambao hajaupata, na kamwe hawezi tena kuupata, na hata aliokuwa nao hawawezi kamwe kuupata.
Hii ndiyo ile inaitwa "kujilisha upepo" ubatili juu ya ubatili. Mtu unapoteza muda na uhai kupigania "upumbavu", siasa ni "upumbavu".
Ben Saanane akiwa kama Mkristo alipaswa kutambua maneno ya YESU KRISTO, "utafuteni kwanza UFALME WA MUNGU na haki yake na hayo yote mtazidishiwa".

Vijana wa Kikristo jifunzeni kupitia makosa ya wenzenu, kitu cha kwanza ukiwa kama kijana unapaswa kujua dhumuni la MUNGU kumuumba Mwanadamu.
Ukishayajua makusudi ya MUNGU, sasa hapo ndipo unaweza kuyapeleka maisha yako katika njia iliyonyooka.
MKUU UMEONGEA SUALA LA MAANA SANA HAPO HAWA VIJANA HAWAJIFUNZI WANAPIGANIA YA DUANIA MUANGALIE MDUDE NYAGALI ALICHOKUWA ANAKIFFANYA SASA ANAJIITA MFUNGWA WA KISIASA SIJUI INAMSAIDIA NINI?
 
Nijuavyo Wabobezi wa " Death Squads " na " Assassination " tena waliopikwa na kupikika huwa hawaandiki " upuuzi " kama huo tuliowekewa hapo kwani huifanya Kazi yao kwa uangalifu mkubwa ili kutoathiri Taasisi yoyote ile katika " mission " yao. Nimecheka sana na kugundua kuwa kuna Watu wanatafuta umaarufu wa ki " hovyo hovyo " wakidhani kuna Watanzania wa sasa ni wapuuzi kama walivyo wao.

Hivi hata akiulizwa tu Mtoto mdogo inaingia akilini kabisa Mtu au Kikundi fulani kiseme kabisa kuwa kitakushughulikia kwakuwa unaisema Serikali? Hebu tuacheni hizi " propaganda " za Kijinga Kijinga zinazolenga kuichafua Serikali na Taasisi zake.

Je na Mimi nikihisi kuwa yawezekana hili jambo limeratibiwa kiufundi kabisa kuwa itafutwe namba hata ya Mtu ambaye ni Marehemu kafariki tu ghafla kisha uandikwe ujumbe kama huo ili tu kutafuta " KIKI " kisha watimize lengo lao la kuendeleza propaganda zao nitakuwa nimekosea?

Nilikuwa siamini kama kuna Watu ambao huishi kwa kutafuta KIKI ila sasa kupitia hili la Ben Saanane nimeamini na binafsi sidhani kama kweli huo mpango upo kutokana na ufahamu wangu " kiduchu " wa hayo mambo kwa kuyasoma, kuyafuatilia na kuyasikia sehemu mbalimbali duniani naweza kudiriki kusema wazi wazi kuwa hii kitu imepangwa na nia fulani ovu dhidi ya Serikali na Taasisi zake na nitoe tu RAI kwa Police kuwa kama kweli wamefikishiwa kitu kama hiki wakifanyie uchunguzi wao wa Kitaalamu kabisa kwa mbinu na ujuzi wao na nina uhakika wanaweza wakawa wameletewa Malalamiko na Mhalifu mwenyewe.
Popoma
 
Nashangaa kwann warombo wananiangusha hapa aisee. Wafanye jambi

Nadhani hapo wazazi watakuwa wamepewa mlungura na kikundi cha BASHITE...Yaani Ben auliwe halafu wao wametulia tu.....Ilitakiwa wafanye jambo wakatike mmoja mmoja wote walioshiriki kumteka na kumuua.
 
Nadhani hapo wazazi watakuwa wamepewa mlungura na kikundi cha BASHITE...Yaani Ben auliwe halafu wao wametulia tu.....Ilitakiwa wafanye jambo wakatike mmoja mmoja wote walioshiriki kumteka na kumuua.
Yaan sijui kwann wamechelewa hivi. Ama Charesmatic imeshika hatamu? Tunataka tuone watu wanakatika mpaka wanaisha wote. Tena tunaomba hela za mbuzi tuchange sisi wala wasinunue wao.. halaf tuone majibu.
 
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko

Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.

Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You are too young to die. Tunajua utaandika na hili. Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha. Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia. Andika Ben. Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"

He's such a coward. Muoga. Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu

Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.

Haya tunasonga mbele Watanzania. Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.

As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo

Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai, watesaji, wakandamizaji wa hakiWatetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji, unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani.

Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania. Nina Mwaka Mmoja bado. He fought the right cause. Alikuja Duniani kimungu. Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu. Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake. Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake? Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.

Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki. Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo, nikapona kwa fadhila zake Muumba. Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu. Wanajisumbua! Nimeishi beyond that favour

Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania. I love you more than words can wield the matter, dearer than eyesight, space and Liberty. Oh I love you Tanzania. My Pride, My fountain of inspiration."

Mlale salama marafiki zangu wapendwa.

Mapambano na Yaendelee, Ushindi U Dhahiiri (Aluta Continua, Victory Ascerta)

Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.

Ben Saanane
Where are you Brother??
 
Yaan sijui kwann wamechelewa hivi. Ama Charesmatic imeshika hatamu? Tunataka tuone watu wanakatika mpaka wanaisha wote. Tena tunaomba hela za mbuzi tuchange sisi wala wasinunue wao.. halaf tuone majibu.

Kabisa maana ben ameonewa ,ilitakiwa mababu wa kilimanjaro wapige kafara la hatari wote walioshiriki kumuua Ben wakatike.
 
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko

Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.

Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You are too young to die. Tunajua utaandika na hili. Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha. Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia. Andika Ben. Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"

He's such a coward. Muoga. Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu

Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.

Haya tunasonga mbele Watanzania. Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.

As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo

Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai, watesaji, wakandamizaji wa hakiWatetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji, unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani.

Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania. Nina Mwaka Mmoja bado. He fought the right cause. Alikuja Duniani kimungu. Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu. Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake. Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake? Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.

Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki. Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo, nikapona kwa fadhila zake Muumba. Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu. Wanajisumbua! Nimeishi beyond that favour

Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania. I love you more than words can wield the matter, dearer than eyesight, space and Liberty. Oh I love you Tanzania. My Pride, My fountain of inspiration."

Mlale salama marafiki zangu wapendwa.

Mapambano na Yaendelee, Ushindi U Dhahiiri (Aluta Continua, Victory Ascerta)

Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.

Ben Saanane
Pamoja na kuripoti polisi huyu kijana alimezwa na chatu. Kuna haja ya kushirikisha polisi kweli? Miliki bastola tembea nayo 24/7 akija njago hovyo lipua tuuu
 
MKUU UMEONGEA SUALA LA MAANA SANA HAPO HAWA VIJANA HAWAJIFUNZI WANAPIGANIA YA DUANIA MUANGALIE MDUDE NYAGALI ALICHOKUWA ANAKIFFANYA SASA ANAJIITA MFUNGWA WA KISIASA SIJUI INAMSAIDIA NINI?
Mbaya zaidi hao anaowapigania wala hakuna hata mmoja anayemsaidia, wao wapo busy, usiku wanalala na wake zao yeye Mdude ananyea debe.
Yote hayo ni ubatili tu na kujilisha upepo. Hovyo kabisa.
 
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko

Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.

Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You are too young to die. Tunajua utaandika na hili. Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha. Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia. Andika Ben. Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"

He's such a coward. Muoga. Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu

Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.

Haya tunasonga mbele Watanzania. Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.

As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo

Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai, watesaji, wakandamizaji wa hakiWatetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji, unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani.

Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania. Nina Mwaka Mmoja bado. He fought the right cause. Alikuja Duniani kimungu. Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu. Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake. Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake? Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.

Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki. Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo, nikapona kwa fadhila zake Muumba. Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu. Wanajisumbua! Nimeishi beyond that favour

Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania. I love you more than words can wield the matter, dearer than eyesight, space and Liberty. Oh I love you Tanzania. My Pride, My fountain of inspiration."

Mlale salama marafiki zangu wapendwa.

Mapambano na Yaendelee, Ushindi U Dhahiiri (Aluta Continua, Victory Ascerta)

Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.

Ben Saanane
ZAINABU NDUTA ndo imesajiliwa hivyo. Pengine huyu ni mtumiaji mpya
 
Back
Top Bottom