Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Wakati wa utawala wa HAYAWANI nani alikuwa huru? Labda puppets wake waliweza kupumua kiana kwa styles za kutanguliza unafiki na kujipendekeza. Mateso, mauaji na kupotea kwa raia vilivyokuwa vikifanywa yaani afadhali hata wakati wa utawala(ukoloni) wa Wazungu.
 
Daah popote ulipo tunakupenda mpendwa,Tunakuombea urejee salama
 
Ujuaji mwingi mbele Giza.
 
Halafu we mshikaji nakufaham vile. Umepiga Telecom pale CoICT?
Dah chalii yangu mchizi wangu umenijuaje Aisee? Kama umenijua basi utawajua hawa pia Mwanaidi O'brien, Stella Shmidt, Tatu Cohen na Mwajuma McAllister wote tulikuwa nao telecom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…