Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
kuna kila daliliRemarks, bado kidogo tutajua walipokupeleka
Hatimaye wamekufa machi 2021Hata na wao watakuja kufa. Kunachofanyika ni kutangulia. Ila wasisahau kwamba, wao wanaotishia kuuma wana ndugu na watoto ambao wanaishi kama wengine. It a Itafika Muda nao watauwawa
Sijui Ben walimpa jina gani, ila goodluck atatuambia,ikiundwa tume ya kijaji kumtafuta komandoo lusinje.....la,sivyo...kingai,j4,mahita,goodluck...TumainiEl mwili wa Ben Saanane mliutupa wapi wewe ná Bashite muuaji?
Uzi bora mno usiochuja na kufa.Mmmmmmhhhh. Hatareeee.
Pole mkuu. Mungu atawaumbua tu miungu watu hawa siku moja.
Usirudi nyuma.
Unaua mtu na wewe unakufa yafaa nini sasa.Inferiorty complex
kaka kuna baadhi ya damu huwa ni hatari saana, mnaweza kujikuta mnakufa ukoo mzima - na wanaobaki hawana la maana wafanyalo wanaambulia kuzaa wasagaji na wabwiya unga - ukoo unasambaratika ndani ya miaka michache.Unaua mtu na wewe unakufa yafaa nini sasa.Inferiorty complex