Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

TumainiEl mwili wa Ben Saanane mliutupa wapi wewe ná Bashite muuaji?
Sijui Ben walimpa jina gani, ila goodluck atatuambia,ikiundwa tume ya kijaji kumtafuta komandoo lusinje.....la,sivyo...kingai,j4,mahita,goodluck...
 
Kwa yale aliyopitia Adom ndiyo nilikua kuamini kuwa ben was kidnapped
 
Yaliyofanyika sirini yote yatawekwa wazi. Ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga, kama akina Kingai na Mahita walimteka na kumtesa hadi kumuua, basi wajue deni lazima lilipwe, jicho kwa jicho, jino kwa jino na uhai kwa uhai.
 
Unaua mtu na wewe unakufa yafaa nini sasa.Inferiorty complex
 
Unaua mtu na wewe unakufa yafaa nini sasa.Inferiorty complex

hata farao aliua akafa

ukike huu unakuwa dhaifu na msaada wako ni kifo

mwanaume mwenzako anakudululisha unasema Mungu atalipa!!!!?????


stupid

Fight back, kama umeshindwa kubali....

unayemsema alimuua Ben kaka ndugu wa Ben wamelipa kisasi hapo sawa

lakini kama kafa kifo cha asili, kama papa mtume, kaka wa mbowe, watoto wadogo, mama yako, basi wewe ni Jinga
 
Yaani ina maana Ben hatupo naye tena au bado wamemficha? sasa watamficha hadi lini sasa maana mtesi wake kashatangulia tayari - wamtoe tu.
 
Kweli nimeamini CCM imejaa wauaji tuu, watu wengi sana wamepotezwa sio Ben Saanane tuu, kuna siku tutajua ukweli maana hakuna siri ya watu wawili
 
Back
Top Bottom