Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti Huyu ndio anashangaa Lissu kuwa hai leo !Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Watu wangekuwa na mawazo mgando Kama yako mpaka leo hii tungekua chini ya wakolonihivi unajua mpumbavu huwa hajijui kama yeye ni mpumbavu? na mtu huyo ni wewe. chadema ni chama tu kama vyama vingine, kama sisiemu tu,nacho kinapambana kupata madaraka ili wale keki. ni siasa tu hizi, wala hakuna anayepigania taifa lake moja kwa moja. majority wanapigania tumbo, familia na utajiri. kupigania taifa ni ngao tu ya kuonyesha mbele za watu.
Hii JF ingeweka wazi baadhi ya ID nina hakika pangechimba , asanteni kwa option ya fake idAlafu kuna kamtu kanaitwa Joannah anasema tusimseme Meko
Acha kutetea makatili babyWe nae utafika mbinguni hoi.
Maxence Melo atakuwa anamjua huyu jamaa unless alisajili JF kwa taarifa za uongo.
Jf ina sheria za kulinda members , tuipongeze kwa hiloMaxence Melo atakuwa anamjua huyu jamaa unless alisajili JF kwa taarifa za uongo.
Sera ya usiri ya JF ni lazima iheshimiwe na kuaminiwa. TumainiEl ataendelea kuwa TumainiEli tu.Maxence Melo atakuwa anamjua huyu jamaa unless alisajili JF kwa taarifa za uongo.
Hilo linafahamika na hii ndio sifa ya JF, lia haliondoi ukweli Melo anamjua unless alijisajili kwa taarifa za uongo.Jf ina sheria za kulinda members , tuipongeze kwa hilo
Nimesema atakuwa anafahamu, sijasema amtaje.Sera ya usiri ya JF ni lazima iheshimiwe na kuaminiwa. TumainiEl ataendelea kuwa TumainiEli tu.
Wenye uwezo wamtafute kwa mbinu zao.
Maxence Melo aliwahi kusema kuwa JF inasajili wanachama wake kwa kutumia mifumo ya kiroboti (Robotic online registrations or automatic registration) ambayo binadamu hausiki labda mpaka atake kufanya hivyo na siyo rahisi kihivyo.Hilo linafahamika na hii ndio sifa ya JF, lia haliondoi ukweli Melo anamjua unless alijisajili kwa taarifa za uongo.
Wacheni apumzike Sasa.Acha kutetea makatili baby
Apumzike akiwa wapi?? Wewe unapajua huko anapopumzikia??Wacheni apumzike Sasa.
Nakumbuka kulikuwa na kesi ya serikali kutaka JF iwaanike watuhumiwa kuhusiana na habari fulani iliyowahi kuandikwa hapa JF, kesi ambayo nahisi JF waliibuka kidedea.Maxence Melo aliwahi kusema kuwa JF inasajili wanachama wake kwa kutumia mifumo ya kiroboti (Robotic online registrations or automatic registration) ambayo binadamu hausiki labda mpaka atake kufanya hivyo na siyo rahisi kihivyo.
Vipi hili swali mbona Kama umesakamwa na mwiba?Apumzike akiwa wapi?? Wewe unapajua huko anapopumzikia??
Ndio ni kweli jamaa aliuawa kwenye mjengo mkuu wa Tanzania, tena kwa Lisasi aisee.Kupotea kwa Ben Saa Nane kulileta utisho mkubwa sana. Cha ajabu mpaka leo wana CCM wengi sana wanatetea kupotea kwake hata kama kwa Bahati Mbaya Kabudi alisema aliuawa.
PoaWacheni apumzike Sasa.