Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Unapenda mipasho Sana eeh??mi Sina mood hiyo aisee
Mipasho.... siyo wa Type hiyo... ila kwangu unavyokuja ndivyo unavyopokelewa. Sipendi mtu anayeshabikia mateso ya wengine hata kidogo.

Soma mabandiko yangu uone kama napenda mipasho. Ila sipendi mtu anayeleta dhihaka kwenye mambo ya maisha ya wengine eti kwa kuwa tu anatumia jina bandia.
 
Mipasho.... siyo wa Type hiyo... ila kwangu unavyokuja ndivyo unavyopokelewa. Sipendi mtu anayeshabikia mateso ya wengine hata kidogo.

Soma mabandiko yangu uone kama napenda mipasho. Ila sipendi mtu anayeleta dhihaka kwenye mambo ya maisha ya wengine eti kwa kuwa tu anatumia jina bandia.
Hebu nionyeshe niliposhabikia mateso ya mtu tafadhali.
 
Mipasho.... siyo wa Type hiyo... ila kwangu unavyokuja ndivyo unavyopokelewa. Sipendi mtu anayeshabikia mateso ya wengine hata kidogo.

Soma mabandiko yangu uone kama napenda mipasho. Ila sipendi mtu anayeleta dhihaka kwenye mambo ya maisha ya wengine eti kwa kuwa tu anatumia jina bandia.
Nasubiri unioneshe nilipoleta dhihaka ,njoo na fact
 
Wacheni apumzike Sasa.
Sijui kama umezaa au laah, kama bado hujazaa, yaani huna familia basi endelea kutamka matapishi yako juu ya huyo meko.

Mimi ni mwanaume, ni baba. Ninajua malezi ni nini, hasa kwa mtoto wa kiume. Kila baba hutamani kumuona mwanae wa kiume akiwa bora zaidi yake.

Mtu yoyote anayezima ndoto za mtoto wako huwezi kumuelewa kwa namna yoyote ile. Ni rahisi saana kwako kumdefend maguful asisemwe kwa mabaya yake endapo kama huna familia, hujawahi kulea mtoto kisha anapotea ktk mazingira kama yale.

Mshukuru Mungu saana Ben Saanane hajatoka kiunoni mwako, shukuru saana kwa hilo, shukuru sio wewe uliyemlea na kufikia pale alipofikia.

Na sio Ben tu, hata Lissu pia. Shukuru wewe sio mama wa watoto hawa au baba wa watoto hawa.
 
Mipasho.... siyo wa Type hiyo... ila kwangu unavyokuja ndivyo unavyopokelewa. Sipendi mtu anayeshabikia mateso ya wengine hata kidogo.

Soma mabandiko yangu uone kama napenda mipasho. Ila sipendi mtu anayeleta dhihaka kwenye mambo ya maisha ya wengine eti kwa kuwa tu anatumia jina bandia.
Achana nae mpuuzi huyo, ben kaacha familia, kaacha mks wa watoto na wazazi pia.

Ni familia pekee ndiye inayotambua majonz wanayopitia na watanzania wachache walio na huruma lakini sio wapumbavu kama hawa.
 
Sijui kama umezaa au laah, kama bado hujazaa, yaani huna familia basi endelea kutamka matapishi yako juu ya huyo meko.

Mimi ni mwanaume, ni baba. Ninajua malezi ni nini, hasa kwa mtoto wa kiume. Kila baba hutamani kumuona mwanae wa kiume akiwa bora zaidi yake.

Mtu yoyote anayezima ndoto za mtoto wako huwezi kumuelewa kwa namna yoyote ile. Ni rahisi saana kwako kumdefend maguful asisemwe kwa mabaya yake endapo kama huna familia, hujawahi kulea mtoto kisha anapotea ktk mazingira kama yale.

Mshukuru Mungu saana Ben Saanane hajatoka kiunoni mwako, shukuru saana kwa hilo, shukuru sio wewe uliyemlea na kufikia pale alipofikia.

Na sio Ben tu, hata Lissu pia. Shukuru wewe sio mama wa watoto hawa au baba wa watoto haw
Una uhakika bangi uliyovuta imekauka vizuri?
 
Kuna watu sijui Mungu kawaumbaje,ila Mungu ndy aijuaye saa na siku.
 
Achana nae mpuuzi huyo, ben kaacha familia, kaacha mks wa watoto na wazazi pia.

Ni familia pekee ndiye inayotambua majonz wanayopitia na watanzania wachache walio na huruma lakini sio wapumbavu kama hawa.
Mwenzio kashindwa kutoa fact wapi nimeleta mzaha na wewe umerukia treni kwa mbele.....
 
Watanzania wenyewe Sasa mnaojitolea kufa kwa ajili yao, wako bize na mambo yao, na Wala hawahitaji mtu awafie kisa siasa
 
Back
Top Bottom