Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 4,363
- 10,265
Kweli nimekuelewa vyema.[emoji23][emoji23][emoji23]maisha bwana. naye akaambiwa, β Utajikuta mwenyewe na chatuβ ANDIKA BEN ANDIKA.[emoji23][emoji23][emoji23].
Akaja akaandika na namba ya simu. Akaipeleka na polisi. Na wakamchukua, hatujui yu hai au katutangulia.
Somo ni nini hapa vijana wenzangu.
KAMA MNA HULKA ZA KIMAPINDUZI, ZIFANYENI KWA STAHA. NI WACHACHE SANA WAMEPITA MIKONO YA DOLA KWA KEBEHI MAJIGAMBO NA KUJIAMINI. MAANA MWENYE NGUVU HAPENDI DHARAU KAMA WEWE MBELE YA WANYONGE WAKO.
Tuwe watu wa movement ila tuwe na staha. Lets move for change but not playing with minds of people.
Unaua tu mkuu,maisha ni vita mura, ukicheza na moto lazima utaunguaWewe binafsi akijitokeza mtu kwenye vyombo vya habari na kuanza kukutupia maneno ya kutweza utu wako kwasababu ya elimu yako utafanyaje?
Cheki huyu anafurahia binadamu mwenzake kupata matatizo kisa mamlaka haya ya kidunia[emoji23][emoji23][emoji23]maisha bwana. naye akaambiwa, β Utajikuta mwenyewe na chatuβ ANDIKA BEN ANDIKA.[emoji23][emoji23][emoji23].
Akaja akaandika na namba ya simu. Akaipeleka na polisi. Na wakamchukua, hatujui yu hai au katutangulia.
Somo ni nini hapa vijana wenzangu.
KAMA MNA HULKA ZA KIMAPINDUZI, ZIFANYENI KWA STAHA. NI WACHACHE SANA WAMEPITA MIKONO YA DOLA KWA KEBEHI MAJIGAMBO NA KUJIAMINI. MAANA MWENYE NGUVU HAPENDI DHARAU KAMA WEWE MBELE YA WANYONGE WAKO.
Tuwe watu wa movement ila tuwe na staha. Lets move for change but not playing with minds of people.
Ww engineer wa jf. Soma vizuri maneno ya upako hayo. Usikimbilie kimbilie vitu.Cheki huyu anafurahia binadamu mwenzake kupata matatizo kisa mamlaka haya ya kidunia
Mkuu nimekusoma ila zile emoji ulizotumia kwa upande wangu naona sio mahali pake paleWw engineer wa jf. Soma vizuri maneno ya upako hayo. Usikimbilie kimbilie vitu.
CHADEMA wanataka sawa... Mbowe atakubaliana na mnayotaka akiwa kama mmiliki wa chama?
Nitaungana nao kwa 100% kama hiyo tume itaanza kazi kuanzia nyuma kabla ya awamu ya 5.
Soma vizuri na angalia kila neno na emoji zilipokaa.Mkuu nimekusoma ila zile emoji ulizotumia kwa upande wangu naona sio mahali pake pale
Huyu mtu washammaliza kitambo pengine saivi kabakia mifupa tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba unyamaze mweshimiwa maana najua umu kuna wanfki wengi hawapendi ukweli wanapenda kupindapinda tu wanapenda ujinga mwingiii wakiguswa mbio kutaka huruma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ujingaujinga tu[emoji23][emoji23][emoji23]maisha bwana. naye akaambiwa, β Utajikuta mwenyewe na chatuβ ANDIKA BEN ANDIKA.[emoji23][emoji23][emoji23].
Akaja akaandika na namba ya simu. Akaipeleka na polisi. Na wakamchukua, hatujui yu hai au katutangulia.
Somo ni nini hapa vijana wenzangu.
KAMA MNA HULKA ZA KIMAPINDUZI, ZIFANYENI KWA STAHA. NI WACHACHE SANA WAMEPITA MIKONO YA DOLA KWA KEBEHI MAJIGAMBO NA KUJIAMINI. MAANA MWENYE NGUVU HAPENDI DHARAU KAMA WEWE MBELE YA WANYONGE WAKO.
Tuwe watu wa movement ila tuwe na staha. Lets move for change but not playing with minds of people.
Sukuma gang wanai-support regardless all the atrocities done by the Jiwe regime, hawana huruma kwa wahanga wa udhalimu uliokuwa ukifanyika.Kweli siasa mchezo mchafu. Whats wrong na hii sirikal ya awamu hii
[emoji15][emoji15][emoji848][emoji848]duh, hizi kiki hizi! unajitumia SMS ili uje uandike makala zisomwe na watu wengi
Kabisa βΉοΈπ₯πππHuyu mtu washammaliza kitambo pengine saivi kabakia mifupa tu.
Mkivuta bhangi laleni. Ona sass mnaandika bhangi mitandaoni.Sukuma gang wanai-support regardless all the atrocities done by the Jiwe regime, hawana huruma kwa wahanga wa udhalimu uliokuwa ukifanyika.
Wanamjua mhusika.
Rais Samia akifanya hivyo nitamshukuru sana. Tumtie moyo katika hili afanikiwe...of course.
..hawazungumzii makosa au unyama wa awamu ya 5 tu.
..Ni kwa awamu zote tangu tupate uhuru.
Wewe ni upindeπππmaisha bwana. naye akaambiwa, β Utajikuta mwenyewe na chatuβ ANDIKA BEN ANDIKA.πππ.
Akaja akaandika na namba ya simu. Akaipeleka na polisi. Na wakamchukua, hatujui yu hai au katutangulia.
Somo ni nini hapa vijana wenzangu.
KAMA MNA HULKA ZA KIMAPINDUZI, ZIFANYENI KWA STAHA. NI WACHACHE SANA WAMEPITA MIKONO YA DOLA KWA KEBEHI MAJIGAMBO NA KUJIAMINI. MAANA MWENYE NGUVU HAPENDI DHARAU KAMA WEWE MBELE YA WANYONGE WAKO.
Tuwe watu wa movement ila tuwe na staha. Lets move for change but not playing with minds of people.
Mm na baba yako ni upindeWewe ni upinde