MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Wewe jiwe ulipwe sawa sawa na matendo yako hapa duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katili na upumbavu wa juu uliojaa kichwani mwako, kutofautiana kiitikadi ni haki ya kikatiba, ccm mmjejaa watu wenye mikono iliyochafukwa na damu za binadamu wenzetu halafu mnajifanya ni wacha Mungu, wewe ni katili na hujui family ya Ben Saanane ipo vipi na elewa alikua na watoto, umelelewa kikatili na bila shaka hujawahi kuambiwa I love youWewe ni mpumbavu sana. Vijana wengi wa CHADEMA mmenyimwa akili na busara. Hata Beni alionywa na kushauriwa kuacha upuuzi akakaidi matokeo yake ni kuleta kilio kwa wazazi. Siasa sio kutukana watu.
President Nyerere aliongoza mapambano ya uhuru wa nchi hii kwa kutofautiana na wakoloni, akipoacha kazi ya ualimu, wakoloni hawakumkamata na kumfunga au to eliminate him,,ccm mna roho katili kuliko makaburu ambao hawakumuua Madiba licha ya kuwa tishio kwao, hoja hii imetolewa na mtu ambaye kwenye nyumba za ibada anajifanya ni mcha Mungu kumbe ni cold blood killer😂😂😂maisha bwana. naye akaambiwa, “ Utajikuta mwenyewe na chatu” ANDIKA BEN ANDIKA.😂😂😂.
Akaja akaandika na namba ya simu. Akaipeleka na polisi. Na wakamchukua, hatujui yu hai au katutangulia.
Somo ni nini hapa vijana wenzangu.
KAMA MNA HULKA ZA KIMAPINDUZI, ZIFANYENI KWA STAHA. NI WACHACHE SANA WAMEPITA MIKONO YA DOLA KWA KEBEHI MAJIGAMBO NA KUJIAMINI. MAANA MWENYE NGUVU HAPENDI DHARAU KAMA WEWE MBELE YA WANYONGE WAKO.
Tuwe watu wa movement ila tuwe na staha. Lets move for change but not playing with minds of people.
Definitely ni YES ,kikatiba ni wajibu wake kulinda raia wa Jamhuri hii,ipo kwenye kiapo chakeUna maana rais wa nchi alikuwa na mkono wake kwenye kupotea kwa Ben?
mkuu povu la nini sasa? ila kabla ya kuja kulia kuwa jamaa alikua na familia na inamtegemea ni vema mkachukua as a lesson kwamba kabla ya kufanya chochote inatakiwa kucalculate matokeo yote kwanza.Katili na upumbavu wa juu uliojaa kichwani mwako, kutofautiana kiitikadi ni haki ya kikatiba, ccm mmjejaa watu wenye mikono iliyochafukwa na damu za binadamu wenzetu halafu mnajifanya ni wacha Mungu, wewe ni katili na hujui family ya Ben Saanane ipo vipi na elewa alikua na watoto, umelelewa kikatili na bila shaka hujawahi kuambiwa I love you
Msimamo wa Ben Saanane wa kutofautiana kiitikadi ni haki yake,wewe huna haki ya kukatiza maisha yake au kumtisha, ccm elewa kuwa sio mrithi wa Tanzania, haina hati miliki ya nchi hii, ume cross line ya ubinadamu kwa kuunga mkono kupotea kwa binadamu mwenzako, wewe sio binadamu ni mnyama katili wa porini, ccm ilitakiwa kujibishana kihoja na Mr.Saanane, ndio maana tiss na police hawana respect kama waliokua nao, politicians wa ccm ndio waamuzi, but end of the day nao watakuja kufa na kuacha watoto wao wakifanya damage control ya wazazi wao, wind of change utaipitia Tanzania, maana battles za mabadiliko zipo mitaani sio humumkuu povu la nini sasa? ila kabla ya kuja kulia kuwa jamaa alikua na familia na inamtegemea ni vema mkachukua as a lesson kwamba kabla ya kufanya chochote inatakiwa kucalculate matokeo yote kwanza.
NB: Na mimi sijawahi kuambiwa I LOVE YOU.
Endelea kuishi kwenye magorifa yako na AC,on day utashushwa chini na kujua what's happening on the groundmkuu povu la nini sasa? ila kabla ya kuja kulia kuwa jamaa alikua na familia na inamtegemea ni vema mkachukua as a lesson kwamba kabla ya kufanya chochote inatakiwa kucalculate matokeo yote kwanza.
NB: Na mimi sijawahi kuambiwa I LOVE YOU.
Wewe ni mpumbavu na mnafiki. Mnawachochea wenzenu washindane na dola huku nyie mkiwa mmejificha nyuma ya keyboard.Katili na upumbavu wa juu uliojaa kichwani mwako, kutofautiana kiitikadi ni haki ya kikatiba, ccm mmjejaa watu wenye mikono iliyochafukwa na damu za binadamu wenzetu halafu mnajifanya ni wacha Mungu, wewe ni katili na hujui family ya Ben Saanane ipo vipi na elewa alikua na watoto, umelelewa kikatili na bila shaka hujawahi kuambiwa I love you
Bado huijui story ya Jeremy, hakufanya Takataka kama za vijana wa kisasa, wengi wamekua kama Alqaeda.President Nyerere aliongoza mapambano ya uhuru wa nchi hii kwa kutofautiana na wakoloni, akipoacha kazi ya ualimu, wakoloni hawakumkamata na kumfunga au to eliminate him,,ccm mna roho katili kuliko makaburu ambao hawakumuua Madiba licha ya kuwa tishio kwao, hoja hii imetolewa na mtu ambaye kwenye nyumba za ibada anajifanya ni mcha Mungu kumbe ni cold blood killer
watakufa wameachama midomo wanakolomije hawa.Huu uzi wa Ben.. SukumaGang unawauma, mtakufa vifo vibaya sana nyinyi na familia zenu kwasabab ya roho mbaya zenu na kukosa akili...
Hauna tofauti na former president, kwako a critics you just silence it,....naye anaoza muda huuWewe ni mpumbavu na mnafiki. Mnawachochea wenzenu washindane na dola huku nyie mkiwa mmejificha nyuma ya keyboard.
Huyo aliyemtaja simjui, ila wakoloni wa kiingereza, makaburu pale SA walikuwa na ubinadamu wa kisheria kuliko radicals wa ccm, kwao kupingana nao ni treason case, bandari inauzwa maana tiss wapo busy na kuilinda Lumumba kuliko magogoni!Bado huijui story ya Jeremy, hakufanya Takataka kama za vijana wa kisasa, wengi wamekua kama Alqaeda.
Hakukejeli mtu. Ndio maana Alialikwa hata na malkia.
Bado hujui chochoteHuyo aliyemtaja simjui, ila wakoloni wa kiingereza, makaburu pale SA walikuwa na ubinadamu wa kisheria kuliko radicals wa ccm, kwao kupingana nao ni treason case, bandari inauzwa maana tiss wapo busy na kuilinda Lumumba kuliko magogoni!
Mkwawa na machifu wengine aliwanyonga nani?President Nyerere aliongoza mapambano ya uhuru wa nchi hii kwa kutofautiana na wakoloni, akipoacha kazi ya ualimu, wakoloni hawakumkamata na kumfunga au to eliminate him,,ccm mna roho katili kuliko makaburu ambao hawakumuua Madiba licha ya kuwa tishio kwao, hoja hii imetolewa na mtu ambaye kwenye nyumba za ibada anajifanya ni mcha Mungu kumbe ni cold blood killer
Bila shaka waalimu wako walifanya shareholders baada ya wewe kumaliza elimu yako ya shule za kataMkwawa na machifu wengine aliwanyonga nani?
Wewe jamaa ni mpumbavu kuliko wapumbavu wote chini ya jua. Yaani makaburu walioua watoto 700 wasio na hatia mwaka 1976 ndo walikuwa na ubinadamu kuliko CCM? Kwa vyovyote kama wewe ni mwanaume utakuwa ni wale walioaga uanaume na kuamua kuolewa na wanaume wenzao kwa kifupi shoga. Hadi siku ya mtoto wa Afrika tunaadhimisha kuwakumbuka watoto waliouawa halafu wewe na ushoga wako unasema makaburu walikuwa na ubinadamu.Huyo aliyemtaja simjui, ila wakoloni wa kiingereza, makaburu pale SA walikuwa na ubinadamu wa kisheria kuliko radicals wa ccm, kwao kupingana nao ni treason case, bandari inauzwa maana tiss wapo busy na kuilinda Lumumba kuliko magogoni!
Ndo kitu gani hiki?walifanya shareholders