Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Wewe jamaa ni mpumbavu kuliko wapumbavu wote chini ya jua. Yaani makaburu walioua watoto 700 wasio na hatia mwaka 1976 ndo walikuwa na ubinadamu kuliko CCM? Kwa vyovyote kama wewe ni mwanaume utakuwa ni wale walioaga uanaume na kuamua kuolewa na wanaume wenzao kwa kifupi shoga. Hadi siku ya mtoto wa Afrika tunaadhimisha kuwakumbuka watoto waliouawa halafu wewe na ushoga wako unasema makaburu walikuwa na ubinadamu.
One death it's to many,kifo cha mtu mmoja hakina tofauti na vifo 700,wote ni wauaji,serikali ya ccm na makaburu kwa issue they join in the hip
 
One death it's to many,kifo cha mtu mmoja hakina tofauti na vifo 700,wote ni wauaji,serikali ya ccm na makaburu kwa issue they join in the hip
Mauaji yaliyofanywa na makaburu yana ushahidi usiotia shaka. Hadi sasa haijathibitishwa 100% kama Ben kafa na pia kama kafariki haijathibitishwa chanzo. Cha muhimu kilichopo ni kuwa Ben alipotea na bado hajapatikana. Mamlaka zinazohusika ziendelee kufanya kazi walizosomea. Ulishawahi kumsikia Mbowe akimtaja Ben Saanane?
 
Mauaji yaliyofanywa na makaburu yana ushahidi usiotia shaka. Hadi sasa haijathibitishwa 100% kama Ben kafa na pia kama kafariki haijathibitishwa chanzo. Cha muhimu kilichopo ni kuwa Ben alipotea na bado hajapatikana. Mamlaka zinazohusika ziendelee kufanya kazi walizosomea. Ulishawahi kumsikia Mbowe akimtaja Ben Saanane?
Why Mr.Mbowe amtaje Mr. Saanane ndio ujue kuna binadamu mwenzetu hapa hajulikani alipo?na government of the day ipo kimya,elewa president anakula kiapo cha kulinda raia wake na serikali ya ccm ipo kimya,mamlaka gani unazozisema hapa ambazo hazina hata uwezo wa to secure a crime scene?,CoCo beach viroba vyenye miili ya binadamu wenzetu na wewe unaona ni sawa reason behind sio familia yako nhe!katiri sana wewe mkuu
 
Binafsi ninashukuru Covid -19 wimbi la pili kwa kusimamia haki kwa walioonekana hawana nguvu!
Unavyodhani ndivyo sivyo.

Hao unaodhani waliondoka kwa COVID waliondoka kwa vifo vya kijanja

If you know you know 😂
 
Mauaji yaliyofanywa na makaburu yana ushahidi usiotia shaka. Hadi sasa haijathibitishwa 100% kama Ben kafa na pia kama kafariki haijathibitishwa chanzo. Cha muhimu kilichopo ni kuwa Ben alipotea na bado hajapatikana. Mamlaka zinazohusika ziendelee kufanya kazi walizosomea. Ulishawahi kumsikia Mbowe akimtaja Ben Saanane?
Nani anatakiwa athibitishe Ben yupo hai au hayupo hai?

Namba alizoambatanisha hapo zinamtishia uliwahi kusikia mamlaka gani ya kiserikali inayohusika ililizungumzia

On top of that waliomshambulia Lissu kwanini hadi leo hawajulikani?

Nani anatakiwa afanye "forensic investigation" kwenye matukio kama haya?
 
Nani anatakiwa athibitishe Ben yupo hai au hayupo hai?

Namba alizoambatanisha hapo zinamtishia uliwahi kusikia mamlaka gani ya kiserikali inayohusika ililizungumzia

On top of that waliomshambulia Lissu kwanini hadi leo hawajulikani?

Nani anatakiwa afanye "forensic investigation" kwenye matukio kama haya?
Aisee one day truth will come out, mungu ni wetu sote
 
Mauaji yaliyofanywa na makaburu yana ushahidi usiotia shaka. Hadi sasa haijathibitishwa 100% kama Ben kafa na pia kama kafariki haijathibitishwa chanzo. Cha muhimu kilichopo ni kuwa Ben alipotea na bado hajapatikana. Mamlaka zinazohusika ziendelee kufanya kazi walizosomea. Ulishawahi kumsikia Mbowe akimtaja Ben Saanane?
Labda kama unajitoa ufahamu ,mbowe bungeni alishatoa ushauri kwamba waziri mkuu aruhusu scotland yard waje kuchunguza kupigwa risasi lissu na kupotezwa kwa ben.
 
Aliyemtisha alimtambua k
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko

Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.

Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You are too young to die. Tunajua utaandika na hili. Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha. Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia. Andika Ben. Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"

He's such a coward. Muoga. Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu

Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.

Haya tunasonga mbele Watanzania. Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.

As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo

Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai, watesaji, wakandamizaji wa hakiWatetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji, unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani.

Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania. Nina Mwaka Mmoja bado. He fought the right cause. Alikuja Duniani kimungu. Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu. Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake. Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake? Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.

Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki. Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo, nikapona kwa fadhila zake Muumba. Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu. Wanajisumbua! Nimeishi beyond that favour

Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania. I love you more than words can wield the matter, dearer than eyesight, space and Liberty. Oh I love you Tanzania. My Pride, My fountain of inspiration."

Mlale salama marafiki zangu wapendwa.

Mapambano na Yaendelee, Ushindi U Dhahiiri (Aluta Continua, Victory Ascerta)

Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.

Ben Saanane
Aliyemtisha alimtambua kwa sura na jina na akawatangaza hadharani?

Adui husubiri mliomo ndani ya nyumba mzozane kisha aliyepembeni kama mtazamaji kwa mzozo wake na mmojawapo hapo kabla anajipenyeza kummaliza adui yake lakini lawama zinaenda kwa yule anayezozana naye muda huo.
 
Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Sawa mlipokamilisha kazi umeme ulikuwa wa uhakika?

Ufisadi kwenye report za CAG ukaisha.

Maji ya uhakika kwenye kila nyumba yakawepo?

Nchi ikawa na sukari ya kujitosheleza??

Mishahara ikapanda na mfumuko wa bei ukapungua

Vipi na aliyewatuma yupo bado na nafasi ile ile aliyokuwepo na nyie nafasi mlizokuwepo bado mpo vile vile kama miaka 8 nyuma?
 
Ben acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Dah umefaidika nini kwa kumuua ?
 
Back
Top Bottom