Amwkufa kishujaa akipaza sautibora kufa ukipigania haki kuliko kufa kwa magonjwa (kisukari,ukimwi...) baada ya dhulma dhidi ya watu. Sote tutakufa hatahivyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amwkufa kishujaa akipaza sautibora kufa ukipigania haki kuliko kufa kwa magonjwa (kisukari,ukimwi...) baada ya dhulma dhidi ya watu. Sote tutakufa hatahivyo!
Kwani PhD huwa zinalisaidia Taifa?
Bashite hafiki 40 vilio vyote vinamwita halafu hatazikwa yaani kaburi lake ni mdomo wa chatu maana Mungu anampenda zaidiHata keshokutwa! Aombaye hupewa, Bw Mwepesi atapewa kile anachokiomba
Huyo jamaa huenda ndio wauaji wenyewe wa awamu hii, jitu katili sana hiliNi nani huyu mwenye haki ya kuhoji uwepo wa uhai wa MTU??? Daaah inasikitisha sana
Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata.Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu .You are too young to die. Tunajua utaandika na hili.Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha.Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia.Andika Ben.Andika sana ,ongea.Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"
Yuko jf anaitwa TumainEl ndie aliyepost text hio,ndie amtishiae Lissu piaHuyo jamaa huenda ndio wauaji wenyewe wa awamu hii, jitu katili sana hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Utawala huu wa awamu ya 5 damu nyingi sana za raia wasio na hatia zimemwagika
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona Uzi wake wa kiboya kabisa akimtishia LissuYuko jf anaitwa TumainEl ndie aliyepost text hio,ndie amtishiae Lissu pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Utawala huu wa awamu ya 5 damu nyingi sana za raia wasio na hatia zimemwagika
Sent using Jamii Forums mobile app
DuhMsaliti hana sehem ndani yaa taifa hili. Don't waste your time tafuta huruma yaa jamii nakuweka namba zisizokuwepo kwenye mitandao. Hilo Ni taifa letu site na wasaliti hawana nafasi kuvuta pumzi hii nzuri Mungu aliwapa wa zalendo na sio wasaliti.
Narudia tena usipoteze muda wa watu kusoma mambo haya yasio na vina ukizingatii husemi ukweli kile unafanya gizani na kwa nini unayofanya gizani yasiwe giza la milele la maisha yako.....
Sema ukweli.....