Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazidi Kupotea tu walidhani wataishi milele kwa upuuzi wao,yaani unaua mtu kwa kuhoji Phd Feki? Hivi hawa jamaa wana akili kweli? Kama hautaki challenge au watu kuhoji aache siasa akafanye issue nyingine.
Ben, una uhakika gani kuwa huyo aliyekutishia ni mtu kutoka serikalini? Isije ikawa umechezewa tu na vijana wa mtandaoni nawe umekimbilia huku kutafuta kiki. Nijuavyo mimi hakuna hitman mjinga aandike vitisho hivyo na namba ya simu juu. Na wewe una umuhimu au impact gani mpaka utake kuuawa wazi wazi namna hii?
Anyway jipe moyo shujaa wa Rombo na daima kumbuka kuwa ili chuma kiwe imara ni lazima kipite kwenye fukuto. You will be OK na huko mbele utakuwa mpinzani aliyekomaa. Siasa zina gharama. Good luck!
Mmh...........ipo siku yake jiwe
Ukiona hivyo wahusika ni hao hao....Hivi kuitrack hiyo number imeshindikana? ?
Jaribu kufikiri vizuri mdau..... namba ikikaa sana bila kutumiwa inapewa mtu mwengine... hata namba ya Ben itakuwa amepewa mtu mwengine.Hii 0768797982 mbona ina jina la.mwanamke?