Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... .Dah!...Kama kuna mwenye address ya Pampeo,
Naiomba.
P
Hakika hakunaKisasi ni cha Mwenyenzi Mungu. Hakuna litakalopita hivi hivi bila kulitolea hukumu ya haki.
Wangekuwa ndani wote ukiona wako huru jua sioHumu kuna watu wana akili ndogo, Mimi mpaka kesho naamini hakuna nguvu kubwa iliyihusika kumpoteza huyu
Pengine ni michezo ya Chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa ndio Kinga ya kifo moi,mobutu,mugabe, bokasa,iddi amini wasingekufa but yote wameukimbiza upepo tu.
Duh hatimae vitisho vikawekwa kwenye vitendo. Kweli wanaume tunazidiana
Ukipatikana mwili au mifupa wanahofu kutakuwa na mada kesi, maana muhusika ameshasema anatishiwa kuuwawa.Wazazi wake wameomba hata kujua ulipotupwa mwili wake lakini wanadanganywa uchunguzi unaendelea wakati si kweli. November mwaka huu itakuwa ni miaka minne tangu “APOTEE”
Kubenea alisema yupo kwenye vijiwe cya kahawa amejificha kutafuta sifaWazazi wake wameomba hata kujua ulipotupwa mwili wake lakini wanadanganywa uchunguzi unaendelea wakati si kweli. November mwaka huu itakuwa ni miaka minne tangu “APOTEE”
Kubenea alisema yupo kwenye vijiwe cya kahawa amejificha kutafuta sifa