Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Ametumbuliwa siku hizi akili zimemrudia baada ya kupigwa njaa.Ameishia utabiri feki usiotimiaHuyu jamaa post # 44 kwenye uzi huu atakuwa ni mmoja wa wahusika wakuu kuhusu kupotea kwa huyu mwenzetu.