OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
huwa naomba Mungu amtoe hukuma sasa kwa mhusikaKILA nikifikiria kuusu familia yake huwa nasikitika Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa naomba Mungu amtoe hukuma sasa kwa mhusikaKILA nikifikiria kuusu familia yake huwa nasikitika Sana.
Daudi MwangosiHivi yule alie pigwa bom akasambaratika kama udongo ni mwandishi gani ? Nimesahau jina lake.
Watu wanao fanya utetezi wa haki za wenzao ni hatare sana kwa maisha yao
Hata mimi nawazaga hivyo mkuu.KILA nikifikiria kuusu familia yake huwa nasikitika Sana.
TumainiElBen acha huu upotoshaji kama unajiita wewe kidume basi endelea ila mimi ni shahidi ndani ya mtandao huu umeshaonywa sana.
Ila mimi nataka kukutabiria jambo. Kama kweli hutobadilika nakuendelea na hii mambo basi kifo chako hutopata nafasi kuja kuandika humu na kwa bahati mbaya watu watakuwa wameshasahau sana sana watajuwa umekufa kama binadam wengine ila kumbuka huna uharakati wowote my dia hata punje ya Dr Ulimboka huna sasa jiangalie usitafute umaarufu wakati kifaru kiponjiani unakizuia kisipite kwa mwili wa nyama utakufa na hao unao walaani wala haiwapati... Take care this is a nation kaa mbali
Sio lazima uletewe barua kujuilishwa hata yale ya kupigana risasi wenyewe kwa wenyewe na kuanguka kwenye ngazi wakasingizia kupigwa pengine ndio malipo hayo yanaanzaWanasema malipo hapahapa,lakini Mbona siyaoni na Kwanini yanachelewa..... Mungu naomba ujibu maombi yangu kwa wote waliohusika na waliosita kuchukua hatua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio lazima uletewe barua kujuilishwa hata yale ya kupigana risasi wenyewe kwa wenyewe na kuanguka kwenye ngazi wakasingizia kupigwa pengine ndio malipo hayo yanaanza
Huyo member ni mmoja wa hao watu.Ulisema???
Awamu hii ina laana!Hizi damu za hawa watu zitalipwa tu!JPM hatakufa kwa amani!Masikini Bensaanane. Angekimbia nchi huenda angelikuwa hai leo