Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Kuna watu huko Tanzania ni vichwa balaa,kwenye ngazi kuanzia vijiji/mitaa mpaka taifa, na wana mawazo na mikakati mingi mizuri ya kulitoa taifa hapa lilipo kulipeleka kwenye hatua nzuri zaidi. Lakini kutokana na hali ilivyo kwa awamu hii,hawapo tayari kujitokeza,kwa kuogopa kupotezwa.

Mwenyezi Mungu Muumba/Yahweh/Jehova mwenyewe anasema nikumbushe tuhojiane,sembuse sisi binadamu!
Isaya 43: 26

Unikumbushe, na tuhojiane; eleza mambo yako, upate kupewa haki yako.
 
Mtu hapaswi kuhoji kwenye nchi huru?
Nyie mmebaka demokrasia mchana kweupe.Afrika Mashariki lazima iwe mfano bora kwa nchi nyinginezo haswa zenye demokrasia thabiti na Uhuru.
Kalb hayawan.
Yaani unashangaa mtu kuhoji phd akati huko Marekani walidai Trump ni kichaa hadi akaenda kupimwa akili. Africans are somehow shith*les.
 
Kuna watu huko Tanzania ni vichwa balaa,kwenye ngazi kuanzia vijiji/mitaa mpaka taifa, na wana mawazo na mikakati mingi mizuri ya kulitoa taifa hapa lilipo kulipeleka kwenye hatua nzuri zaidi. Lakini kutokana na hali ilivyo kwa awamu hii,hawapo tayari kujitokeza,kwa kuogopa kupotezwa.
Mwenyezi Mungu Muumba/Yahweh/Jehova mwenyewe anasema nikumbushe tuhojiane,sembuse sisi binadamu!
Isaya 43: 26
Unikumbushe, na tuhojiane; eleza mambo yako, upate kupewa haki yako.
Kusema ni tofauti kabisa na kutekeleza. Kwani awamu zote hawakuwepo wamelifikisha wapi taifa kipindi hicho
 
Kusema ni tofauti kabisa na kutekeleza. Kwani awamu zote hawakuwepo wamelifikisha wapi taifa kipindi hicho
Hivi unajua walio nyuma ya kuanzishwa kwa NBC? Hivi unajua walio nyuma ya kuanzishwa kwa TAZARA?

Hivi unajua walio nyuma ya kuanzishwa kwa TASAFA,SELF, CRDB, TRA,MKAPA Foundation na mengineyo! Hivi unajua walio nyuma ya sera nyingi za maana za Tanzania!?

Kama tungekuwa na mfumo bora wa kiuongozi na kutowaachia wanasiasa kuingilia mipango mikakati na sera,Tanzania ingekuwa kama "Asian Tigers"!?

Tatizo kubwa ni kuwa mnawapa thamani kubwa wanasiasa na siasa badala ya taaluma,vipaji na maono.
 
OK wachangiaji wengi wanasema huyu jamaa hatunaye tena. Je, ndugu zake wamefuatilia nini kilimtokea? Je, Mbowe ambaye alikuwa msaidizi wake anasemaje? Polisi uchunguzi wao kama upo kutokana na maneno ya Ben ulifikia wapi? Je, Chadema kama chama uchunguzi wake ulifikia/umefikia wapi?

Mwisho lakini sio kwa umuhimu, Ben kule India alifanya nini kabla ya kurejea Tanzania?
 
Game chenger[emoji124][emoji124][emoji124]
Entertainer[emoji124][emoji124][emoji124]
Charismatic fella[emoji124][emoji124][emoji124]
Pure talent[emoji124][emoji124][emoji124]
Ndo we huyo
 
Back
Top Bottom