Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

Nijuavyo Wabobezi wa " Death Squads " na " Assassination " tena waliopikwa na kupikika huwa hawaandiki " upuuzi " kama huo tuliowekewa hapo kwani huifanya Kazi yao kwa uangalifu mkubwa ili kutoathiri Taasisi yoyote ile katika " mission " yao. Nimecheka sana na kugundua kuwa kuna Watu wanatafuta umaarufu wa ki " hovyo hovyo " wakidhani kuna Watanzania wa sasa ni wapuuzi kama walivyo wao.

Hivi hata akiulizwa tu Mtoto mdogo inaingia akilini kabisa Mtu au Kikundi fulani kiseme kabisa kuwa kitakushughulikia kwakuwa unaisema Serikali? Hebu tuacheni hizi " propaganda " za Kijinga Kijinga zinazolenga kuichafua Serikali na Taasisi zake.

Je na Mimi nikihisi kuwa yawezekana hili jambo limeratibiwa kiufundi kabisa kuwa itafutwe namba hata ya Mtu ambaye ni Marehemu kafariki tu ghafla kisha uandikwe ujumbe kama huo ili tu kutafuta " KIKI " kisha watimize lengo lao la kuendeleza propaganda zao nitakuwa nimekosea?

Nilikuwa siamini kama kuna Watu ambao huishi kwa kutafuta KIKI ila sasa kupitia hili la Ben Saanane nimeamini na binafsi sidhani kama kweli huo mpango upo kutokana na ufahamu wangu " kiduchu " wa hayo mambo kwa kuyasoma, kuyafuatilia na kuyasikia sehemu mbalimbali duniani naweza kudiriki kusema wazi wazi kuwa hii kitu imepangwa na nia fulani ovu dhidi ya Serikali na Taasisi zake na nitoe tu RAI kwa Police kuwa kama kweli wamefikishiwa kitu kama hiki wakifanyie uchunguzi wao wa Kitaalamu kabisa kwa mbinu na ujuzi wao na nina uhakika wanaweza wakawa wameletewa Malalamiko na Mhalifu mwenyewe.
Mkuu, Ben Saanane yuko wapi? Bado una msimamo ule ule?
 
Ben, una uhakika gani kuwa huyo aliyekutishia ni mtu kutoka serikalini? Isije ikawa umechezewa tu na vijana wa mtandaoni nawe umekimbilia huku kutafuta kiki. Nijuavyo mimi hakuna hitman mjinga aandike vitisho hivyo na namba ya simu juu.

Daima kumbuka kuwa ili chuma kiwe imara ni lazima kipite kwenye fukuto. You will be OK na huko mbele utakuwa mpinzani aliyekomaa. Siasa zina gharama. Good luck!
Rudi tena kuandika
 
Yani mtu
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko

Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.

Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You are too young to die. Tunajua utaandika na hili. Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha. Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia. Andika Ben. Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"

He's such a coward. Muoga. Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu

Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.

Haya tunasonga mbele Watanzania. Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.

As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo

Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai, watesaji, wakandamizaji wa hakiWatetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji, unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani.

Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania. Nina Mwaka Mmoja bado. He fought the right cause. Alikuja Duniani kimungu. Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu. Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake. Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake? Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.

Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki. Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo, nikapona kwa fadhila zake Muumba. Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu. Wanajisumbua! Nimeishi beyond that favour

Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania. I love you more than words can wield the matter, dearer than eyesight, space and Liberty. Oh I love you Tanzania. My Pride, My fountain of inspiration."

Mlale salama marafiki zangu wapendwa.

Mapambano na Yaendelee, Ushindi U Dhahiiri (Aluta Continua, Victory Ascerta)

Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.

Ben Saanane
Yani mtu unaangaika kusoma miaka yote alaf unakuja kufa kijinga jinga tu kwa kujitakia sasa muda wote huo alipoteza ada muda maalifa na vingne vngne si bora wazaz wake wangekula kuku tu unakuja kufa kijinga kwel, unataka legacy haya umepata then what?

Vitu vngne vinachekesha sana
 
Mbaya zaidi hao anaowapigania wala hakuna hata mmoja anayemsaidia, wao wapo busy, usiku wanalala na wake zao yeye Mdude ananyea debe.
Mwenyezi Mungu alitupendelea sana binadamu kwani, tofauti na wanyama wa porini, alitupa akili. Hata hivyo tatizo letu kubwa likatokana na uhuru aliotupa wa namna tunavyotumia akili hizo na maamuzi tunayochukua.

Mathalani tunaweza kuamua bora maisha kama wanyama wa porini bila kufikiria namna ya kuboresha maisha tunavyoishi. Lakini pia tunaweza kutumia hizo akili kujipa maisha bora au kwa lugha rasmi kujipa maendeleo.

Changamoto tulizokuwa nazo binadamu toka tunaumbwa ni nyingi lakini pia silaha ya kukabiliana nazo tukajaaliwa, akili. Kwa akili tunapaa angani kama ndege, tunasafiri majini kama samaki na hakuna kiumbe kinatutisha.

Kwa kuwa sote tuna akili, uhasama baina yetu unatokana na utofauti katika maamuzi yetu kimaendeleo. Mashindano ya hatari yanayovikabili viumbe vyote ulimwenguni yako baina yetu sisi kwa sisi...binadamu kwa binadamu.

Wako wasema ukweli na waongo, wapo majasiri na waoga, wapo wenye msimamo na wanafiki, wapo wanaotumia akili na wapo waliozipa akili zao likizo na mwisho wapo wanaoteseka juani ili wavivu wa akili wale kivulini!

Wapo walioteseka na kupoteza maisha ili wenzao wawe huru, wapate haki na usawa na wapo wanaoshangaa Mdude kunyea debe na kujilisha upepo bila wa kumsaidia huku Son of Gamba yuko busy, usiku analala na mke wake!

Asanteni sana...Baba wa Taifa, Nelson Mandela, Martin Luther King na wengineo...all you ever wanted was for the world to be a better place to live!

Asanteni mliohangaika na wengine kupoteza maisha kugundua ndege, kugundua dawa, kugundua simu hadi ya mkononi...
 
Yani mtu

Yani mtu unaangaika kusoma miaka yote alaf unakuja kufa kijinga jinga tu kwa kujitakia sasa muda wote huo alipoteza ada muda maalifa na vingne vngne si bora wazaz wake wangekula kuku tu unakuja kufa kijinga kwel, unataka legacy haya umepata then what??
Vitu vngne vinachekesha sana

kwa hiyo ww ambae hujitakii kufa utaishi milele?? kama utakufa unasoma ili iweje [emoji205]
 
Yani mtu
Safari inaendelea. Vitisho. Haya ndiyo maisha yetu ya Kila siku. Mengine tumetoa Ripoti Polisi huko

Kuna watu hawa miongoni mwa wengi. Yeye anaandika "Ben Saanane unachokitafuta ndani ya Serikali hii utakipata. Kwa elimu na uwezo wako hatukutarajia ungefikia hatua ya ajabu kwa namna uliyofikia.

Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You are too young to die. Tunajua utaandika na hili. Andika lakini the next post hutaandika ukiwa na uhuru wa kutosha. Andika but your days are numbered. Unajua kuna rafiki yako alipuuza na hutaki kuandika kuhusu yeye labda kwa kuwa alitangulia. Andika Ben. Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"

He's such a coward. Muoga. Muaji anayejitangaza nae ana hofu tupu

Nimemshukuru lakini nimemjibu kwa namba yake hii 0768797982 ambayo ipo polisi.

Haya tunasonga mbele Watanzania. Kama ni Uchochezi sidhani kama upo uchochezi mkubwa zaidi ya huu.

As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo

Kitu kimoja tu cha hakika ni kuwa Damu ikimwagika hasa damu ya kimapinduzi hutoa mvuke utakaonyesha na kutiririsha mafuriko katikati ya mito na vijito vya haki. Kama itanyesha mvua ya Radi basi itaambatana na mwanga na cheche zitakazowamulika walaghai, watesaji, wakandamizaji wa hakiWatetezi wa haki watapata mwanga katikati ya giza tororo la Unyanyasaji, unafiki na ubakaji wa taaluma na dhamiri zao kitaaluma na kiimani.

Yesu Kristu aliishi miaka 33 tu duniania. Nina Mwaka Mmoja bado. He fought the right cause. Alikuja Duniani kimungu. Kila mtu anaishi kutokana na makusudi ya Mungu. Mwenyezi Mungu huruhusu kila jambo kwa makusudi yake. Sisi ni akina nani tukatae makusudi yake? Hatukujileta Duniani na hatutaishi milele.

Wasichojua watu hawa ni kuwa nilizaliwa na kubatizwa hatari siku hiyohiyo kama Mkatoliki. Ubatizo wa kifo(Hatari) 13 Desemba miaka hiyo, nikapona kwa fadhila zake Muumba. Nimepata fadhila sana Machoni pa Mwenyezi Mungu hadi muda huu. Wanajisumbua! Nimeishi beyond that favour

Oh nakupenda mpenzi wangu Tanzania. I love you more than words can wield the matter, dearer than eyesight, space and Liberty. Oh I love you Tanzania. My Pride, My fountain of inspiration."

Mlale salama marafiki zangu wapendwa.

Mapambano na Yaendelee, Ushindi U Dhahiiri (Aluta Continua, Victory Ascerta)

Pumzika kwa amani Rafiki yangu kipenzi Alphonce Mawazo. Hukukopa, Ulijiandaa kulipa gharama. Ukalipa Deni. Tunasonga Mbele! Nitalitaka Jeshi la Polisi liunganishe ujumbe uliotumwa na kifo chako katika hatua za uchunguzi.

Ben Saanane
Yani mtu unaangaika kusoma miaka yote alaf unakuja kufa kijinga jinga tu kwa kujitakia sasa muda wote huo alipoteza ada muda maalifa na vingne vngne si bora wazaz wake wangekula kuku tu unakuja kufa kijinga kwel, unataka legacy haya umepata then what??
Vitu vngne vinachekesha sana
kwa hiyo ww ambae hujitakii kufa utaishi milele?? kama utakufa unasoma ili iweje [emoji205]
tatizo sio kufa kila mtu atakufa tatizo ni kufa kwa ujinga wako
 
Asanteni sana...Baba wa Taifa, Nelson Mandela, Martin Luther King na wengineo...all you ever wanted was for the world to be a better place to live!
Umeandika gazeti refu but all of it is just rubbish.
For instance, huyo Mdude anapigania uhuru wa nini? Je, Tanzania hatupo huru?

Nonsense kabisa!! Tanzania tupo huru na maisha yetu yanaendelea halafu wewe unakuja hapa na kuwalinganisha akina Mandela na mjinga mjinga Mdude au Ben Saanane?

That is absurd! Those guys (Mdude and Ben Saanane) didn't know the course of what they are fighting for, they were mere puppets, manipulated by some stupid politicians for their own gain.
Ni ujinga na upumbavu wa kiwango cha SGR kwa kijana kukubali kutumiwa na wanasiasa wahuni wenye uchu wa madaraka na tamaa. Kijana anapoteza maisha yake au anaharibu future yake kwa kuwa brainwashed akiamini anapigania "uhuru" wakati yeye mwenyewe amezaliwa katika nchi iliyo huru.

Ndugu, acheni kabisa kuharibu watoto wa wenzenu kwa manufaa yenu binafsi.
 
Umeandika gazeti refu but all of it is just rubbish.
For instance, huyo Mdude anapigania uhuru wa nini? Je, Tanzania hatupo huru?
Nonsense kabisa!! Tanzania tupo huru na maisha yetu yanaendelea halafu wewe unakuja hapa na kuwalinganisha akina Mandela na mjinga mjinga Mdude au Ben Saanane???
That is absurd! Those guys (Mdude and Ben Saanane) didn't know the course of what they are fighting for, they were mere puppets, manipulated by some stupid politicians for their own gain.
Ni ujinga na upumbavu wa kiwango cha SGR kwa kijana kukubali kutumiwa na wanasiasa wahuni wenye uchu wa madaraka na tamaa. Kijana anapoteza maisha yake au anaharibu future yake kwa kuwa brainwashed akiamini anapigania "uhuru" wakati yeye mwenyewe amezaliwa katika nchi iliyo huru.
Ndugu, acheni kabisa kuharibu watoto wa wenzenu kwa manufaa yenu binafsi.
Mbona hata huyo dhalimu mliyemwabudu kafa kishenzi kama alivyoishi kishenzi? Eti yuko ofisini anachapa kazi, upumbavu mtupu. Unajua maana ya uchu wa madaraka? Huwaoni wenye uchu wa madaraka wameng'ang'ania hayo madaraka kama kupe na bila aibu wanadai hawaachii ng'o hata kwa miaka mia! Punguza jazba na kukurupuka wewe kijana mpuuzi...

1622813347278.png

Kamlilie na huyu kijana mwenzako...malipo ni hapa hapa duniani!​
 
Yani mtu

Yani mtu unaangaika kusoma miaka yote alaf unakuja kufa kijinga jinga tu kwa kujitakia sasa muda wote huo alipoteza ada muda maalifa na vingne vngne si bora wazaz wake wangekula kuku tu unakuja kufa kijinga kwel, unataka legacy haya umepata then what??
Vitu vngne vinachekesha sana

tatizo sio kufa kila mtu atakufa tatizo ni kufa kwa ujinga wako

Ulitaka aumwe malaria ndio afe kwa ujanja??

Kima [emoji205][emoji205][emoji205] Kama kafa kwa ujanja umeona amehukumiwa kifo?? kama alivunja sheria si amgepigwa risasi hadharani? kwanini apotee?

BTW who stated kuwa Ben kafa?? unaweza thibitisha??
 
Unamuua mtu anaondoka duniani kisha nawe unaondoka duniani mnakutana huko unampokea unamwambia kiko wapi uliniuwa ukidhani utaishi milele duniani.

Thus mtu mwenye akili timamu hawezi uua mtu.
 
Back
Top Bottom