ni maneno ya simanzi na ya kishujaa sana ambayo umetuachia Ben.As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni maneno ya simanzi na ya kishujaa sana ambayo umetuachia Ben.As long as tupo hai, Sauti zetu hazitakoma. Tutaandika, Tutasema, Tutahutubia na tutafanya vitendo
Na Makonda nae malalamiko yake vipi? 🤣🤣Huyu ben saa nane muongo kama viongozi wake wanataka kuanza kama enzi za akina zitto akiwa chadema yeye mwenyewe ben walikuwa wanajiteka halafu wanasema wametekwa.
duhMagufuli alikuwa muuaji mbwa Yule , rest in hell filthy dog
Namba hii sasa anamiliki Zainabu Nduta. 2016 September alikuwa anamiliki nani? TCRA please!! Kila kitu kipo wazi!! Bring back our BEN!!0768797982 ambayo ipo polisi.
Tayari wameanza na lile jinamizi lililotokomea March 17 2021. Wauaji wengine wako wanahangaika kama kuku anayetaka kutaga!! By the way siku ya March 17 iadhimishwe kwa sherehe kubwa kuondokewa na shetani mnywa damu za watz!!Hao watakao kuuwa kwani wao hatokufa.
Wanajisahaulisha makusudi wakati jinai haifutiki.Namba hii sasa anamiliki Zainabu Nduta. 2016 September alikuwa anamiliki nani? TCRA please!! Kila kitu kipo wazi!! Bring back our BEN!!
Forced disappearanceSenseless disappearance
CHATU"Ben Saanane unachokitafuta ndani .
Hujiulizi kwanini upo huru hadi muda huu You ,Andika sana, ongea. Sema lakini utajikuta mwenyewe na chatu"
Ben Saanane
...?Fanya kazi wewee. Acha blah blah blah jamvin!
Naona bado unadunda jf mkuu.CHATU
Nguo na scaf yake vilionekana kuwa na damu na maji yaliyotokea puani wakati akibanwa na python, aliyekuwa mkosoaji wa elimu ya mfalme wa Beirut
Aliibuka kijana akakosoa sana sana mpaka kukatamalaki tahamaki kwamba yule aliye kuwa mfalme wa Beirut hakuna na elimu ya sekondari, na akaenda mbali kusema kwamba ile elimu ya sekondari aliyoipata mfalme ilikuwa kubebwa na msimamizi wake, Suala ili lilionekana kumkera sana aliyekuwa gavana wa...www.jamiiforums.com
bahati mbaya wanachadema wengi wapo hivyo, huwa wanaenda kichwakichwa tu bila kuforesee madhara wanayoweza kuyapata. ukiwa kwenye izo siasa unatakiwa kuwa mjanja sana ukicheza na upepo, ukifanya kijingajinga utapotea wakati ulikuwa na uwezo wa kuendelea kusavaivu ili ufanye siasa zaidi na zaidi. hekima na busara ni vitu vya mhimu sana maishani. hekiama na busara ndio vitakuongoza nini ufanye na nini usifanye na kwa wakati gani.sio unaenda tu kama gari isiyo na breki. yote katika yote, mimi sio mwanachadema wala mwanaccm, ila huyu kijana huwa naumia sana moyoni nikikumbuka kwamba amepotea na watoto wake hawajamuona hadi leo. sijui alipata mateso makali kiasi gani, hata sielewi. damu ni nzito kuliko maji na damu ya mtu huwa haiendi bure.Kila nikisoma hili bandiko naamini, Ben angeweza kuwa hai kama tu angezingatia kanuni kuu ya maisha nayo ni USICHEZEE UHAI WAKO KWA VITU AMBAVYO UNAWEZA KUACHANA NAVYO.