Benaco Ngara: Madereva wa Malori wa Tanzania, wamejichukulia sheria mkononi kuzuia Malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini

binafsi nilijua tutafika huku,sababu ya maamuzi ya kijinga.

sikutegemea mr slim angekuwa mpuuzi kiasi kile,labda maamuzi yake yaliambatana na chuki,wifu na roho mbaya tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ndiyo kama hii
Your browser is not able to display this video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule jamaa si yupo karbu aende kwa miguu tu apo mpakani..si hajari ata ivyo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
 
Mamlaka husika iingilie kati haraka iwezekanavyo kutatua suala hili kiustaarabu.

Isifikie hatua ya kuwekeana visasi.

Maana baadae mambo yakishatulia (Maisha baada ya gonjwa hili la mlipuko) isije ikawawekea wakati mgumu Ndugu zetu wanaoenda huko Rwanda, au Ndugu zetu wanaoishi huko Rwanda
 
Kitaagizwa kikosi kazi hapo kucharaza viboko watanzania na magari yaruhusiwe kuingia tz.
Hilo sitoshangaa kabisaa, lakini hivi tujiulize kama madereva wa Tz Wana Corona na hawaruhusiwi kuingia nchini Rwanda kwanini hawa madereva wa Rwanda waje huku kwetu, hawajui kwamba wanakuja kuichukua hiyo corona kuipeleka kwao.
 
Yaaani watuwekee sisi visasi!! Sawa waweke tu hakuna tatizo kama raia wao huku ndio wengi zaidi.
 
Bandari ya mombasa itafanya kazi saana.

Ujinga ni mzigo unaoelemea mno. Mbaya zaidi mzigo huo ubebwe na mpumbavu, hata akiingia ndani ya chombo cha usafiri yeye ataendelea kujitwika limzigo lake.
 
warwanda wajiulize kwanza nani anamtegemea kati ya tanzania na rwanda nani anahitaji malori kuingia nchini mwake
nani mwenye bandari hapo 🤣 🤣 🤣

Aliimba mwungwana mmoja: "tuwasifu madereva wetu Tanzania ...."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…