Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshukuru, na nimefurahi kwa usikivu wao na wameweza kutulizana wenyewe kwa wenyewe.
Rwanda hawana shida kivile. wana option ya kutumia bandari ya Mombasa kupitia Uganda.Baada ya kunyanyasika vilivyo nchini Rwanda madereva wa malori wa Tanzania wamejichukulia sheria mkononi kuyazuia malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini.
Inasemekana baada ya Rwanda kuudhibiti ugonjwa wa Corona vilivyo nchini mwao, kitisho pekee kwa sasa kimebakia kuwa kutokea kwa wageni wanaoingia nchini mwao.
Katika hili inasemekana madereva wa malori kutokea nje wamekuwa ndiyo kitisho kikubwa. Takwimu zinaonyesha kuwa madereva kadhaa tokea Tanzania wamepatikana na virusi hivyo kwenye kuingia huko. Kutokana na hali hiyo, inasemekana Rwanda imebadilisha utaratibu wa malori kuingiza mizigo na sasa kuwataka madereva wa kutoka nje (Tanzania) kuishia mpakani. Utaratibu mpya unawataka madereva walioko (salama) ndani ya Rwanda pekee kuyafikisha malori Kigali na kuwarudishia mpakani.
Utaratibu wa ajabu kabisa. Nani atamwamini mtu asiyemjua na gari lake? Kujibu hilo madereva wa Tanzania nao wamechukua hatua zao na kuanzia jana inasemekana hali huko ni tete. Hakuna lori kutoka Rwanda wanaloliruhusu kuingia nchini. Vinginevyo nao wanawataka waishie mpakani kwa hali ile ile kama inavyotakiwa kwa wetu kufanya.
My take: Serikali inabidi kuingilia kati haraka iwezekanavyo na kuchukua hatua. Yawezekana hawa ndugu tuliowaachia mpaka wazi kwa kuwahurumia ya kwamba watataabika mno, huruma yetu hawaihitaji kabisa!
Kudos madereva wetu si mbaya mkuki kwa nguruwe kuwa ni ule ule kwa binadamu pia.
View attachment 1440166
View attachment 1440167
View attachment 1440140
sasa unafikiri kwenye hili kila mtu akiamua kuwa kichaa nani ataumia???.Tanzania leaders are not serious. They're the ones behind this stupid escalation. Wenzake walimpigia simu akawa anaongea pumba& nonesense. Wakaachana naye.
unadhani ni rahisi kama ulivyoandika hapa,jipe muda hata kupitia ramani uone mambo yalivyo,ukiachia mbali fukuto lake la chini chini na m7.Rwanda hawana shida kivile. wana option ya kutumia bandari ya Mombasa kupitia Uganda.
afterall ni route ambayo ni less risky vs COVID-19 because marais wa Kenya na Uganda wanajua wanachokifanya linapokuja suala la korona.
Pamoja na hayo, naogopa Ndugu yangu.Yaaani watuwekee sisi visasi!! Sawa waweke tu hakuna tatizo kama raia wao huku ndio wengi zaidi.
picha kubwa (sijui kama utaelewa though)..... katika ushindani wa kibiashara miongoni mwa nchi zenye bandari, ni Tanzania ndiyo inayozihitaji land-locked countries zaidi kuliko kinyume chake.unadhani ni rahisi kama ulivyoandika hapa,jipe muda hata kupitia ramani uone mambo yalivyo,ukiachia mbali fukuto lake la chini chini na m7.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ule uamuzi wa kutofunga mipaka kwa kuwa tunahudumia nchi nane,mie nilidhani magu kazungumza kwanza na wakuu wa nchi hizo,but it seems yeye alikuwa driven na revenueHawatabaki salama pia kwa anayetazama mbali.
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Pamoja na hayo, naogopa Ndugu yangu.
Hawa watu wameshazoea mambo ya vita vita na vurugu, sisi tofauti sana.
Kwahiyo naogopa sana wao hawatokuwa na cha kupoteza hata kidogo
Hao wa rwanda wakija huku hawataambukizwa hiyo corona?
Mwaga ugali namwaga mboga,wote tusile halafu tuone itakuwaje...Baada ya kunyanyasika vilivyo nchini Rwanda madereva wa malori wa Tanzania wamejichukulia sheria mkononi kuyazuia malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini.
Inasemekana baada ya Rwanda kuudhibiti ugonjwa wa Corona vilivyo nchini mwao, kitisho pekee kwa sasa kimebakia kuwa kutokea kwa wageni wanaoingia nchini mwao.
Katika hili inasemekana madereva wa malori kutokea nje wamekuwa ndiyo kitisho kikubwa. Takwimu zinaonyesha kuwa madereva kadhaa tokea Tanzania wamepatikana na virusi hivyo kwenye kuingia huko. Kutokana na hali hiyo, inasemekana Rwanda imebadilisha utaratibu wa malori kuingiza mizigo na sasa kuwataka madereva wa kutoka nje (Tanzania) kuishia mpakani. Utaratibu mpya unawataka madereva walioko (salama) ndani ya Rwanda pekee kuyafikisha malori Kigali na kuwarudishia mpakani.
Utaratibu wa ajabu kabisa. Nani atamwamini mtu asiyemjua na gari lake? Kujibu hilo madereva wa Tanzania nao wamechukua hatua zao na kuanzia jana inasemekana hali huko ni tete. Hakuna lori kutoka Rwanda wanaloliruhusu kuingia nchini. Vinginevyo nao wanawataka waishie mpakani kwa hali ile ile kama inavyotakiwa kwa wetu kufanya.
My take: Serikali inabidi kuingilia kati haraka iwezekanavyo na kuchukua hatua. Yawezekana hawa ndugu tuliowaachia mpaka wazi kwa kuwahurumia ya kwamba watataabika mno, huruma yetu hawaihitaji kabisa!
Kudos madereva wetu si mbaya mkuki kwa nguruwe kuwa ni ule ule kwa binadamu pia.
View attachment 1440166
View attachment 1440167
View attachment 1440140
Sisi hatuwezi kufanya hivyo kwa sababu Tanzania haina corona.Hata hizo cases 480 ni kwa sababu ya vipimo fake na wahudumu hewa wa maabara but Tanzania ni nchi pekee duniani ambaya sauti ya rais wake imemuogopesha COVID-19 hadi amerudi alikotokaKule Kenya wao wamebuni utaratibu mzuri,,kabla dereva hajapakia mzigo lazima apime na atavuka mpaka kwa cheti Cha kuonyesha kishapima
Baada ya kunyanyasika vilivyo nchini Rwanda madereva wa malori wa Tanzania wamejichukulia sheria mkononi kuyazuia malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini.
Inasemekana baada ya Rwanda kuudhibiti ugonjwa wa Corona vilivyo nchini mwao, kitisho pekee kwa sasa kimebakia kuwa kutokea kwa wageni wanaoingia nchini mwao.
Katika hili inasemekana madereva wa malori kutokea nje wamekuwa ndiyo kitisho kikubwa. Takwimu zinaonyesha kuwa madereva kadhaa tokea Tanzania wamepatikana na virusi hivyo kwenye kuingia huko. Kutokana na hali hiyo, inasemekana Rwanda imebadilisha utaratibu wa malori kuingiza mizigo na sasa kuwataka madereva wa kutoka nje (Tanzania) kuishia mpakani. Utaratibu mpya unawataka madereva walioko (salama) ndani ya Rwanda pekee kuyafikisha malori Kigali na kuwarudishia mpakani.
Utaratibu wa ajabu kabisa. Nani atamwamini mtu asiyemjua na gari lake? Kujibu hilo madereva wa Tanzania nao wamechukua hatua zao na kuanzia jana inasemekana hali huko ni tete. Hakuna lori kutoka Rwanda wanaloliruhusu kuingia nchini. Vinginevyo nao wanawataka waishie mpakani kwa hali ile ile kama inavyotakiwa kwa wetu kufanya.
My take: Serikali inabidi kuingilia kati haraka iwezekanavyo na kuchukua hatua. Yawezekana hawa ndugu tuliowaachia mpaka wazi kwa kuwahurumia ya kwamba watataabika mno, huruma yetu hawaihitaji kabisa!
Kudos madereva wetu si mbaya mkuki kwa nguruwe kuwa ni ule ule kwa binadamu pia.
View attachment 1440166
View attachment 1440167
View attachment 1440140
Ata ukimwi awa madereva malori ndo waenezaji mnoo na wanapenda sembuje sijawai onaHivi hawa madereva wanatoa wapi hii corona??
Ni dhahiri huu ugonjwa ushasambaa sana na sisi tumeshindwa na tumeridhika na hali yetu.
Ona sasa aibu...nchi jirani zinatuvua nguo dah
Mimi nawahurumia traffic wa Tanzania,pona yao ni note ya Tanzania kuwa na ubora wa juu sana kiasi Cha kutoweza kusambaza coronaMadereva wao wako trained wasipeleke Korona kwao. Watajihadhari
Wakati madereva wabongo wenye korona wasio na discipline wanaweza kuambukiza wanyarwanda
Mkuu wanakosa heshima kabisa, hawana shukurani hawa watu, yaan sisi kuwabeba kote bado wanatuona wajinga tu wamepigana sana huko kwao sisi tuliwapokea na kuwapa hifadhi mpaka leo wengine hawajarudi kwao, mkoa wa kagera wamejaa kibao lakini bado tu hawataki kutuheshimu kwanini?Pamoja na hayo, naogopa Ndugu yangu.
Hawa watu wameshazoea mambo ya vita vita na vurugu, sisi tofauti sana.
Kwahiyo naogopa sana wao hawatokuwa na cha kupoteza hata kidogo