citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Makubwa hayo siyawezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nenda kalale kwa Meko sasa Mufurahie DAMU mulodhulumu kwa watuPole kunywa maji usife na stress dada!
Wacha kujikomba kwetu mbuzi wewe.. Ni vile hujui hasira tulionayo tuu kwa kutuulia na kudhalilisha ndugu zetuUpinzani Tanzania hauna akili timamu, si Lissu wala zezeta Zitto wanajitambua.....wote ni mazwazwa tu. Kwa kweli wametuangusha mno.
Mnampa Membe sifa hata asiyostahili.Mi nilimsoma siku nyingi kachero km kule kaenda kuwapiga bao la tiktaka then anarudi kijiweni kutulia,eti karudisha kadi thubutuu,mbobezi bana😅😅😅
Mungu anamuona
Watu wameona isiwe tabu, mtu umepigwa risasi na bado hujapona vizuri halafu tena tukuongezee majukumu ya urais, afadhali tukuonee huruma kwa kumpa kura magufuli ili ukatibiwe vizuri
Mkuu umenipa rahaWajinga nyie tulieni dawa iwaingie, mlidhani hizo multiple accounts zenu humu ndo zingepiga kura? mnajitekenya na kucheka wenyewe si tunawachora tu, the majority tumeamua, ingieni road na huko tuje tuwanyooshe.
Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
Mme edit mikutano mmeona haitoshi sasa mmerudi kwa masanduku.ebu rekebisha hizo lock za blue zikae vzr angalauHuu uongo. Wanachama hasa akina mama walijitokeza kwa wingi sana. Kama huyu hapa chini:
View attachment 1615496
Imepain [emoji23]Yaani wewe ndo TAHIRA kupindikia.
Ungekuwa karibu yangu hata makofi ningekunasa.
Sent using Jamii Forums mobile app