Benard Membe kuwa Kachero mbobezi ni ishara ya udhaifu mkubwa idara ya usalama wa Taifa

Benard Membe kuwa Kachero mbobezi ni ishara ya udhaifu mkubwa idara ya usalama wa Taifa

Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Yupi mbobezi ambae unamfahamu wewe ambae si "kilaza" kama ulivyotumia neno hilo, ni kawaida binadamu kuonana wa kawaida hata huku kwetu mbagala atajitokeza mtu kusema mo Ana utajili gani au bilionea gani anakesha mitandaoni ndivyo ilivyo hata mkeo ukimzoea utamuona wa kawaida si ajabu kwakuwa si taaluma yako na wala hujafanya utafiti wowote kumuhusu
 
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Masalia ya Mwendazake mnahangaika usiku kucha kuchafua watu.Mbona hujiulizi kwa nini Tanzania hakujawahi kuwa na vita vya kikabila au kikanda(Civil wars).Hayati Magufuri alitaka kuleta hayo machafuko lakini akakutana kisiki Kachero Mbobezi Membe ambaye alikuwa na uchungu na Tanzania na raia wake mpaka Magufuri kafa kwa presha.Mnapenda sana vita lakini hamtafanikiwa hata siku moja Tanzania itaendelea kuwa salama kwani Kachero Mbobezi Kamilius Membe ameacha mizizi iliyokomaa.
 
Nchi hii tuombe viongozi walete elimu itakayo Saidi vizazi vijavyo kujua kipi kina faidi kwa nchi na kipi hakina faidi kwa nchi.
Mfano mtoa maada hii maada yako Ina faidi gani kwa taifa hili?
 
Nchi hii tuombe viongozi walete elimu itakayo Saidi vizazi vijavyo kujua kipi kina faidi kwa nchi na kipi hakina faidi kwa nchi.
Mfano mtoa maada hii maada yako Ina faidi gani kwa taifa hili?
Mtoa mada ni mmojawapo wa watu wasiojulikana,ndiyo maana walimshambulia risasi Lisu kutokana na chuki zisizo na faida.
 
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Musiba
 
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Wewe utakuwa ndondocha la Mwendazake. Ni walewale kina Msiba gang.

Hujui different facets za ukachero wewe.
 
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Ninyi vijana mna matatizo makubwa.
Mnahadithia aya mambo kutokana na uelewa finyu wa stori za ujasusi kwenye novels.
Ujasusi au Intelligence kitu ingine kabisa.

Mimi si mnazi wa Membe, aliyepewa caption na vyombo vya habari, eti "kachero mbobezi"!
Mtu atakuwaje kachero mbobezi kwanza yuko public.
Pili, hawezi kwenda any serious operations za kijasusi kwa vile hana cover, anajulikana.
Tatu yumo kwenye siasa, hivyo hata kumwita kachero mbombezi haileti maana yoyote.

Pengine Membe made the mistake kuikubali hiyo caption ya kuwa kachero mbobezi, kumpa invincibility ambayo hana.

Lakini pamoja na hayo tutakuwa tunamwonea sana Membe kuwa ndiye alianzisha utengano na makundi ndani ya CCM na Taifa.
Hilo mimi napinga na ni kumwonea, he was just a player like the rest.
Tuwe wakweli kwa nafsi zetu, mtandao wa 2005 ulitengeneza deep divisions ndani ya CCM.
Tusisahau kuwa Membe alikuwa part ya mtandao by afilition , na alibaki kuwa hivyo.

Enter Magufuli.
Huyu bwana isingekuwa ile phobia yake ya kutaka kuwa an absolute power,uuaji wa wanaompinga na generally kutoambilika , kulimtengenezea maadui both real na imagined.
Mwalimu aliitengeneza Idara ambayo si tu ilikuwa proffessional, lakini ilikuwa na uzalendo usio na mashaka.
Ni katika Awamu ya Tano mambo yameharibika, sijui ndani ya Idara kuna idara nyingine ngapi.

Sasa Magufuli made his greatest error in judgement, kufikiri anaweza ku exterminate kundi la mtandao!
Kwa kutumia idara zilizo loyal kwake tu.
The rest is history.

Membe mlaumuni kwa tabia zake tu, ambazo ni nzuri, lakini si kwa kuwa ati kachero mbobezi, because he was not.
 
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Ujinga wa kihalaiki unalisumbia taifa. Ungetaja kwanza walau hata GPA yako tuilingqnishe na membe
 
Back
Top Bottom